Rafiki yangu wa kike kaibiwa iPhone ndani ya mwendokasi kivukoni

Rafiki yangu wa kike kaibiwa iPhone ndani ya mwendokasi kivukoni

Wakuu wazima humu ndani? Dah siku ya jana mida kama hii mchana. Rafiki yangu wa kike mmoja alikuwa akitokea ferri kwa usafiri wa mwendokasi akiwa ameweka simu yake kwenye beg la mgongoni lakini kabla ya kufika alipokuwa akienda alikuja kushtuka beg lake likiwa wazi na simu yake aina ya iPhone 7 ikiwa imeshaibiwa maeneo ya Fire [emoji22]

So sad... Simu sio ya kwangu but imeniuma sana maana simu kanunua mwezi machi tu hapa ikiwa mpya na haijamaliza ata miezi mingi tayari imeibiwa [emoji2359]

Hawa wezi wa Dar bhana... Binafsi tokea nimezaliwa mpaka leo hii sijawai kuibiwa kitu changu popote pale nitakapoenda na sitamani ije itokee kwangu kitu kama hicho.

Je wakuu hapo hakuna namna nyingine inaweza kurudi?

Poleni, Kama anakumbuka Apple ID username na password yake a log in kwa PC kule aende ikaizime simu

yule alieiba haezi ifungua labda aiuze na atakae nunua ni hivohivo

Heri tupate hasara wote asee
 
Mbona iphone mtu akiiba hawezi kuitumia? Hata password yenyewe hawezi itoa, hata kuiflash hawezi. Na hakuna mtu wa kuinunua ikiwa nzima.labda kuuza parts kwa.mafunnd simu.

Shoga yangu aliibiwa iPhone stend tukawa tunaipiga akapokea huyo mwizi akamuhaidi kumpa kesho asubuhi.

Asubuhi mwizi hakutokea, kama saa nne tukapiga akapokea akatupa mashart kuwa shoga yangu aende mwenyewe na elfu 60. Akamwambia jengo alilopo kwakuwa ni mchana akaenda kufika kweli akamkuta kavaa kofia hadi usoni.

Akamuuliza umeleta 60 yangu ya kuokota? Akajibu ndio.akamwambia simu hii hapa weka hapo hiyo hela ,akaweka akaihesabu akamrushia simu kama ilivyo kuwa.

Akamwambia bahati yako sister simu haiuziki hiyo.

Kweli kabisa
 
Mbona iphone mtu akiiba hawezi kuitumia? Hata password yenyewe hawezi itoa, hata kuiflash hawezi. Na hakuna mtu wa kuinunua ikiwa nzima.labda kuuza parts kwa.mafunnd simu.

Shoga yangu aliibiwa iPhone stend tukawa tunaipiga akapokea huyo mwizi akamuhaidi kumpa kesho asubuhi.

Asubuhi mwizi hakutokea, kama saa nne tukapiga akapokea akatupa mashart kuwa shoga yangu aende mwenyewe na elfu 60. Akamwambia jengo alilopo kwakuwa ni mchana akaenda kufika kweli akamkuta kavaa kofia hadi usoni.

Akamuuliza umeleta 60 yangu ya kuokota? Akajibu ndio.akamwambia simu hii hapa weka hapo hiyo hela ,akaweka akaihesabu akamrushia simu kama ilivyo kuwa.

Akamwambia bahati yako sister simu haiuziki hiyo.
Duuuuh shoga ako hakwenda na mapolisi? Ili wamkamate huyo mwizi.
 
Sas mtu ananunua iphone afu ana ningiania kweny daladala[emoji23][emoji23][emoji23]wabongo bhna
Mm nikiwa hata na la5 au nina kitu cha thaman nakodi hata boda

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app

IPhone 7 ukodi boda mkuu?Nailivyoshuka bei now hadi laki3 unapata makumbusho au kino huko! Ingekua iPhone 13 at least
 
Mbona iphone mtu akiiba hawezi kuitumia? Hata password yenyewe hawezi itoa, hata kuiflash hawezi. Na hakuna mtu wa kuinunua ikiwa nzima.labda kuuza parts kwa.mafunnd simu.

Shoga yangu aliibiwa iPhone stend tukawa tunaipiga akapokea huyo mwizi akamuhaidi kumpa kesho asubuhi.

Asubuhi mwizi hakutokea, kama saa nne tukapiga akapokea akatupa mashart kuwa shoga yangu aende mwenyewe na elfu 60. Akamwambia jengo alilopo kwakuwa ni mchana akaenda kufika kweli akamkuta kavaa kofia hadi usoni.

Akamuuliza umeleta 60 yangu ya kuokota? Akajibu ndio.akamwambia simu hii hapa weka hapo hiyo hela ,akaweka akaihesabu akamrushia simu kama ilivyo kuwa.

Akamwambia bahati yako sister simu haiuziki hiyo.
Mh itakuwa kweli ila hawa wanaosema kuna wataalam K/Koo hawashindwi kufanya hivyo !
 
Mbona iphone mtu akiiba hawezi kuitumia? Hata password yenyewe hawezi itoa, hata kuiflash hawezi. Na hakuna mtu wa kuinunua ikiwa nzima.labda kuuza parts kwa.mafunnd simu.

Shoga yangu aliibiwa iPhone stend tukawa tunaipiga akapokea huyo mwizi akamuhaidi kumpa kesho asubuhi.

Asubuhi mwizi hakutokea, kama saa nne tukapiga akapokea akatupa mashart kuwa shoga yangu aende mwenyewe na elfu 60. Akamwambia jengo alilopo kwakuwa ni mchana akaenda kufika kweli akamkuta kavaa kofia hadi usoni.

Akamuuliza umeleta 60 yangu ya kuokota? Akajibu ndio.akamwambia simu hii hapa weka hapo hiyo hela ,akaweka akaihesabu akamrushia simu kama ilivyo kuwa.

Akamwambia bahati yako sister simu haiuziki hiyo.
Sas imagine angeenda kuiuza elf20 kwq fundi lakin muhusik umenunua 1.2 m
Yy hana hasara ndo maana tunasem umakin unahitajik sana

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Sas mtu ananunua iphone afu ana ningiania kweny daladala[emoji23][emoji23][emoji23]wabongo bhna
Mm nikiwa hata na la5 au nina kitu cha thaman nakodi hata boda

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Mashauzi tu…
Ndio iwe yako hapo sahivi ina maana utakuwa daily unapanda boda kwenda kazini/ mishe zako?
 
Back
Top Bottom