Rafiki yangu wa kike kaibiwa iPhone ndani ya mwendokasi kivukoni

Rafiki yangu wa kike kaibiwa iPhone ndani ya mwendokasi kivukoni

Mbona iphone mtu akiiba hawezi kuitumia? Hata password yenyewe hawezi itoa, hata kuiflash hawezi. Na hakuna mtu wa kuinunua ikiwa nzima.labda kuuza parts kwa.mafunnd simu.

Shoga yangu aliibiwa iPhone stend tukawa tunaipiga akapokea huyo mwizi akamuhaidi kumpa kesho asubuhi.

Asubuhi mwizi hakutokea, kama saa nne tukapiga akapokea akatupa mashart kuwa shoga yangu aende mwenyewe na elfu 60. Akamwambia jengo alilopo kwakuwa ni mchana akaenda kufika kweli akamkuta kavaa kofia hadi usoni.

Akamuuliza umeleta 60 yangu ya kuokota? Akajibu ndio.akamwambia simu hii hapa weka hapo hiyo hela ,akaweka akaihesabu akamrushia simu kama ilivyo kuwa.

Akamwambia bahati yako sister simu haiuziki hiyo.
Upo karne ya ngapi wewe..?, Leta iphone yako hata ile latest nikutolee hicho ki password chako
 
Poleni, Kama anakumbuka Apple ID username na password yake a log in kwa PC kule aende ikaizime simu

yule alieiba haezi ifungua labda aiuze na atakae nunua ni hivohivo

Heri tupate hasara wote asee

K/koo ukienda na iPhone 6-12 ikiwa kwenye activation lock/hello wanacheza nayo inaludi mpya ila kuna option kadhaa kuna full meid,gsm iwe full yani full network service kuna zile una kuta hazisomi line ni wifi only sasa Iphone13 huwez bypass na kuna zile uki bypass ndani uki reset umeisha nyingine simu inaludi kwenye hello nakudai icloud ya mlengwa
 
Nikiibiwa simu sihangaiki, maana najua nitamdaka mjinga atayeinunua
 
K/koo ukienda na iPhone 6-12 ikiwa kwenye activation lock/hello wanacheza nayo inaludi mpya ila kuna option kadhaa kuna full meid,gsm iwe full yani full network service kuna zile una kuta hazisomi line ni wifi only sasa Iphone13 huwez bypass na kuna zile uki bypass ndani uki reset umeisha nyingine simu inaludi kwenye hello nakudai icloud ya mlengwa
😅😅😅 daah
 
Sio kila IPhone ni IPhone. Iphone yoyote yenye home button sio IPhone.
 
Mnunulie nyingine tuu au 11 kabisa. Kwan shing ngap babu?
 
Back
Top Bottom