Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Umeandika Mengi ila mada yako simply inaishia sehem moja tu. "Ukosefu wa pesa" ambao simply haukusababishwa na huyo mwanamke.

LAKIN MADA YAKO haija sema kwann mtu asioe.


and si kila mtu anae anaishia kwenye same result as huyo jamaa
Nilichomaanisha
"Zile akili zotee wanazowaza kuolea WAZITUMIE KUTAFUTA PESA"

waachane na ndoa wawe "MONEY HUNTERS"

#YNWA
 
RIP DAVE
 
Daah! Rip Captain Dav.
Ila malipo ni hapahapa, shiit!
 
Ndugu yako wa kweli hapa duniani ni Mama yako mzazi tu.wengine wote wanaweza kukuacha wakati wowote.
 
Mimi naombeni mnisaidie kujua hili swala

Hivi mimi nikioa saiv na huyo mwanamke akanikuta nimali zangu za kutosha ambazo nimezipat kabla yakuwa nae
Je tukiachana hizo mali tutazigawana wote japo nilitafut pekee yangu.
 
Mimi naombeni mnisaidie kujua hili swala

Hivi mimi nikioa saiv na huyo mwanamke akanikuta nimali zangu za kutosha ambazo nimezipat kabla yakuwa nae
Je tukiachana hizo mali tutazigawana wote japo nilitafut pekee yangu.
anachukua 35%
 
Nilivyosoma kichwa cha uzi tu nikajisemea moyoni huyu aliyeleta uzi atakuwa Mr Liverpool.
 
Huyo mwanamke wa kumpenda mpk niwe kichaa hajawahi kuzaliwa dunia hii....nkiona sikuelewi unapita hivi....
 
😢
 
Wanaume wenzangu tujitaidi kuwasumbua wanawake kwenye ndoa sio wanawake watusumbue sisi,
KAMWE mwanamke asipate mafasi ya kujiona mwamba kwako
HAKIKISHA unampa stress kila siku, asikie una mke mwingine, usifute mesej za michepuko, wala usipate hofu ya kumuacha.

Hivo tu ndo namna ya kumtia adabu mwanamke wa kiafrika NUKTA
 
Unaweza kupata watoto bila ya ndoa, labda kama umeamua kujichagulia maana ya ndoa kua hat kujamiana pia kumaanishe ndoa
Utawapataje bila kusex?
Kwahyo utasex kavu na kila mwanamke unayemuona ili upate watoto?

Na nyumbani nani atakuwa msaidizi wako ktk hali na Mali

Ndugu yangu usijidanganye ukajiona ni mzima wa afya.
Unaweza ukabanwa usiku ukakosa hata mtu wa kuomba maji.

Ukajifia week nzima ndani ,,
watu wanapata taarifa kwa harufu unayotoa chumbani kwako.
Usidhani watu wanaoa kwa lengo la kusex pekee.
Mke ni zaidi ya sex .

Kuna tatizo,,linaweza kukukuta ghafla ukakosa hata wa kutoa taarifa haraka usaidiwe.

Mtu akishakuwa over 50 bila mke au kuishi na family ni tatizo kubwa sn.
 
Time will come,, millennials watajutia maamuzi ya kufanya mapenzi kama video games,,

The time will come ambapo men will turn from Dogs to wolf and trust me,, they will terrorize the society

The time will come when Eve's gender will be desperate to have a family and Adam's gender will be in a defensive position,,,

Currently what wanafanya is pulling up the tail of the monster within us and they exactly know kuwa they can't tame it,,
 
Kwani nani alikudanganya ku sex kuna hitaji ndoa, unaelewa maana ya ndoa?

Kwako wewe ndoa ni sex?

Msaidizi ndio nini? na msaidizi kwani ni lazima awe mke?

Siku zote unashauriwa kutokua muoga kufanya jambo kwa kufikiria negatively effect, yani uoga wa kuumwa ndio unifanye nioe kwa kuhofia naweza nikatingwa usiku nikiwa peke yangu?

Labda nikuulize kipindi ambacho uko single uliwezaje kuishi bila uoga wa kuumwa? Au we mwenzangu baada ya kuhitimu masomo ukiwa chini ya wazazi ukapa mke ukiwa hapo hapo kwenu hujawahi ishi maisha ya geto?

Katika hustling basi we ni coward, kwasababu kuna muda mwanaume unaweza ukaenda bush mbali na makazi ya watu kuweka kambi, huko ukakaa miezi kadhaa una fight ukiwa umezungukwa na wanyama wakali.

Matatizo hayachagua pakukukuta, sehemu yeyote unaweza kupatwa na tatizo na watu waliokuzunguka wakawa helpless. Majuzi nilishuhudia ajali bajaji ilifinywa na gari kubwa, nilitegemea wingi wa watu eneo lile wawe msaada lakini huwezi amini watu walikua wanashangaa na kusema "mungu wangu sijui watapona"
 
Dohh Hatari sana. Mapenzi ya kuangalia mali kuliko mapenzi yenyewe siyo poa
 
Muuaji ameshapatikana wanabodi......ngoja tufanye chakato wa ku arrest hii gaidi ya feelings za watu....ushahidi uko wazi kabisaa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…