Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Mimi naombeni mnisaidie kujua hili swala

Hivi mimi nikioa saiv na huyo mwanamke akanikuta nimali zangu za kutosha ambazo nimezipat kabla yakuwa nae
Je tukiachana hizo mali tutazigawana wote japo nilitafut pekee yangu.
Issue ni child support wakati huna kipato kizuri. i.e. Huna ajira wala biashara.
Inabidi uuze vitu ili utoe huduma kwa watoto wako.
 
Angelipa kisasi angekua na amani na wala asingekua na huo ugonjwa wa akili.
Mtu kakufanyia unyama namna hiyo na bado wewe tena ndio uteseke yeye akila raha kwa pesa zako. Mpe pigo tuu hamna namna .
 
Una umri gani mkuu? Isije ikawa nabishana na watoto wa chuo mwaka wa kwanza.
 
Alijikuta mahaba Niue, akabadilisha documents zotee sababu ya mbunye tu so called NDOA.

Angekua kauzu kama Mimi muda huu angekua kwenye gari yake anaenda kula bata mjini.

F*ck so called NDOA.

#YNWA
Kwahiyo umeogopa kuoa?
 
Una umri gani mkuu? Isije ikawa nabishana na watoto wa chuo mwaka wa kwanza.
umri wa kutosha kuweza kuyajua mambo mengi na ya msingi, pengine hili swala ningeongea na baba yako angenielewa vyema

Angekushangaa kuona mtoto wake anaoa mke kama backup ya yeye kuendelea kuwa salama akitingwa usiku
 
Pumba tupu.
 
Siku hizi kugongewa /kugonga imekuwa rahisi sana, technologia inakuja na mengi, wajukuu wetu wataweza ku adapt, siyo sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…