Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

😡😡😡
 
Ndiposa tunawauliza vijana wanaume:

Mke mmoja amekuwa Mama Mzazi huyo? Kama mke haeleweki mpandishe cheo awe Bi Mkubwa. Mwanaume mwamba shurti awape vyeo wanaostahili.
 
Hii ndio misimamo ya sisi mabaharia na kamwe huaga haibadilki kamwe

Tunachovya na kusepa then maisha yanaendelea
 
Ha haa,wakati kuna uwezekano wa kupata sikumoja na ukamtafuna Sikh hiyohiyo na mkaachana siku hiyohiyo.Sema ndo ivo...upendo wa ukweli bado upo dunian japo lazima kuwe na sababu nyuma yake mtu hawez ng'ang'ana iviivi
Wapumbavu tuu,mwanaume lazima utumie ubongo sio moyo
 
Mabaharia ichukuen hii itatusaidia tuendako
 
Utawatambua vipi mkuu ikiwa hata manabii walishindwa kutambua tabia harisi ya mwanamke,

mwanamke unaweza kumuona kuwa na tabia ya ukichaa kumbe kilichopo ndani yake nizaidi ya wema na upendo uliojaa ndani, Na mwanamke huyo huyo unaweza kumuona katika tabia ya kobe au kondoo ila kilichopo ndani yake nizaidi ya ushetani kama sio lucifa.
Hapo ndipo vijana wengi tumebaki njia panda katika kuoa
Vijana wanapaswa kutambua Kuna wanawake wa kuwa "mke" wengine wapo kwa ajili ya starehe tu ni rahisi Sana kuwatambua ukitumia akili kuliko hisia.
 
Jamaa kama ananizungumzia mm,wanawake sio kabisa yaani kilichoniokoa mm ni kumtegeshea simu yake auto record na memory card 8gb nikagundua madudu yake,nikampiga straight red card,
 
Sio ndoa zote mbaya, na hitakaa kaa ndoa zote pia zikawa nzuri au kuwa na mwisho mzuri
 
Shida ni marehemu inaonekana alioa mwanamke masta wa twn...hivi mali zako zinauzwa kisa talaka,mimi hata kijiko asingepata toka kwangu.istoshe kesi hiyo hata ampe mbunye hakimu namshinda mchana kweupe
 
Hata angemuhonga mbunye jaji mkuu hiyo kesi hashindi,umenikuta na mali zangu utaondoka na kuziacha....mimi mke amenikuta niko njema,nlivyomuoa amekuta nakaa kwangu,nliongeza nyumba za kupangisha tu nkiwa nae,ila kiwanja nlinunua b4 kumuoa yeye na huwa majina naandika ya wazazi wangu sitaki utani na mali zangu
 
Mimi naombeni mnisaidie kujua hili swala

Hivi mimi nikioa saiv na huyo mwanamke akanikuta nimali zangu za kutosha ambazo nimezipat kabla yakuwa nae
Je tukiachana hizo mali tutazigawana wote japo nilitafut pekee yangu.
Hakuna story hiyo hizo mali hata ampe mbunye jaji mkuu hazimuhusu,istoshe hiyo kesi anashindwa mchana saa 7
 
Yani hapo lazima akutie petrol [emoji16][emoji16]
 
Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu jamani.
Kwahiyo marehemu hakua na akili?
Dah kwahiyo mkipendwa sanaa mnatumia mwanya wa upendo vibaya.

Tokea nionane na Steve 2019 nilimwambia kabisa.

"Kosa kubwa la Dav ni kumuonyesha mkewe anampenda"

Dav alimpenda sanaa yule mwanamke na mpaka kumuoa.

Ange HIT and RUN, muda huu tungekuwa wote tunakunywa bia.

Nimeona wanaume wengii wanateseka eti kisa wamependa na wakafanya ujinga mmoja uitwao KUOA.

#YNWA
 
Ukifa je, wazazi wako hawata mdhurumu mkeo?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…