Hahaaa we noma[emoji119][emoji119]Binafsi I don't care kutoswa ujanani au uzeeni nachotaka niwe na pesa Ili huko uzeeni naajiri vijana watanilea nawalipa.
Sijawahi bembeleza mwanamke kiasi hicho naye anajua nilivyo na msimamo wangu Uko wazi ukipata pazuri off you go sinaga ndoa wala sina mpango wa huo ujinga,tunaishi ndoa za mke na mume ila sio za makaratasi never ever
Ushawahi kua na kesi hata ya madai luck?Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!
Nikashangaa....
""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""
Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"
poleni ila najiuliza huyo mke wa marehemu aliwezaje kuhonga the so called mbunye mahakama zote?
Kuna kitu hakiko sawa hakuna mahakama ya ajabu igawe kijinga hizo mali wakati sheria iko wazi.
Unapofika wakati wa kupelekana mahakama inabidi kutuliza akili, kuomba ushauri kwa wataalamu wa sheria.
Mtu ana hizo mali zote anashindwa kumuweka hata wakili, hata kama wanaachana wagawe fair?
Kama mahakama husika haikutenda haki alishindwa nini kukata rufaa?
Kuachana na mke ajiwekee stress hadi afe? Hiyo ndo kuokoa watoto wake?Kwani yeye wa kwanza kuachwa? Wanawake wote hawa si angepata mwingine?
Ifike mahala watu mjitambue jambo kama hilo likitokea ongea na watu anza upya maisha sahau ya zamani magari na nyumba vinatafutwa.
Mgao wa 30/70 ama sio huyo?Yupo mwingine namjua
Mgogoro wa ndoa na kesi za mahakamani, alikua na maisha mazuri nasikia now kapoteza kila kitu hadi nyumba yake anatembea anaongea mwenyewe barabarani.
Wanawake tuwe na huruma
Yes, na kila siku lazima nikutane na kesi tofauti tofauti.Ushawahi kua na kesi hata ya madai luck?
,"nliongeza nyumba za kupangisha tu nkiwa nae"Hata angemuhonga mbunye jaji mkuu hiyo kesi hashindi,umenikuta na mali zangu utaondoka na kuziacha....mimi mke amenikuta niko njema,nlivyomuoa amekuta nakaa kwangu,nliongeza nyumba za kupangisha tu nkiwa nae,ila kiwanja nlinunua b4 kumuoa yeye na huwa majina naandika ya wazazi wangu sitaki utani na mali zangu
Ukiwaacha wanajinyonga mkuuHivi kwanini huwa mnakomaa na ndoa zenye Majanga..!!
Kwanini huwa mnaishi "hivyohivyo" kwenye matatizo?
#YNWA
Upumbavu ni kufa au kuwa na matatizo ya akili?Upumbavu mtupu
1. Utamjuaje anakupenda huku una Mali?Tatizo vijana wengi wanasubir wapate mali nyingi ndo waoe. Cha kushangaza sasa hawajui kama mke aliyenae amempenda yeye au mali zake. Wanakujua kugundua mwishoni kabisa baada ya kupitia magumu flani. Usiwaambie wafu wasioe kwasababbu unakosea na unahamasisha watu wazini.. bali washaur watu watafute wenza sahihi watao wapenda kwa hali yoyote.
Hongera kwa KUVUKA.Haawa viumbe bwana ...wakikupanda lazma utakuwa chizi ...
Mimi it was half way nilipandwa walionizunguka wakijua Hilo ..Mimi pekee yangu ndo nilijiona najua kubembeleza ndoa...
Siku Moja niliwaza siku nzima mpaka saa Kuni usiku nimekaa bar napiga via mdo mdo .huyu mwanamke hata kuniuliza uko wapi hakuna Ila yupo online nk...na hapo kulikuwa na ma skendo mengi niliyapuuzia ... Nikaamua siku hiyo hiyo navunja ndoa TU kiroho safi nimuombe tuachane maisha yasonge
Akaelewa kwel kiroho safi
ASE long story short week baada ya hii transition nikawa natafuta sehem ya kupanga Ila nalala chumba Cha wagen ..hata watoto wahaelewi mchezo...bwana bwana jioni asimlete uyo jamaa niliesikia ana chepuka nae..kaja kusalimia..
Mimi huwa kikaz nipo mkoa jirani..Kwa mwez unakuta nashinda kama week TU...
Aseee nikaliita jembe langu first born kumuuliza vyema..uyu anko mnamfaham..akasema anakujaga kusalimia..afu alituletea tv baada ya Ile kuvunjika(Kuna tv Walivunja madogo..nilimuagiza mama Yao atafute nyingine nitume Hela akapata nikalipia direct Sasa uyu mwanamke alimshtua mwamba apitie apeleke home )
Aahhh niliagiza watoto waende Kwa shangazi na dada wa kazi...
Yule jamaa nikamwambia ntakuua sepa..kwakuwa sikuwahi kupiga yule mwanamke..alijiamini kabisa hatoguswa...
Mtume walaiii hatokuja sahau...nilimtwanga yule mwanamke siku Ile...aliuguzwa mwezi mzima..nilitoka nikaenda polis nikakaa kama siku tatu...mpaka msala umeisha talaka juu ...
Nikasepa nikaanza upya..marafiki na ndugu walinitia moyo Sana ..niliacha Kila kitu ..
Miaka mitano baadae nimebarikiwa mtoto mwingine kakiwanja na gari Yan maisha matam Nina ka mwanamke kabich mno Hela hizi ..yule chizi nae kazaa uko na yule mpuuz wake..wanangu mmoja nakaa nae mmoja anakaa nae .Ila naona nae anamshinda ntamchukua tu
Depression inaua mkuu
Inapelekea denial , then confusion then kinachofwata hapo bila msaada wa kitabibu tunakusahau
Siku hizi raia wako bizee na kutafuta hela na kusahau wenzao.Huyo hakuwa na family support
Social cohesion ilikuwa chini sana...
Stress zipo tu ila kama una wanafamilia na jamii iliyoupande wako unavuka tu mbona
Kumpata huyo anaejielewa dunia ya sasa ni KIPENGELE.Omba uwe na mke anaejielewa.
Yap the goal is not money, the goal is HAPPY LIFE.Think about living a happy life thats all.
Mwamba siku hizi watu kulalamikia ndoa limekua jambo la kawaida.kuipaka tope taasisi ya ndoa kisa mwanamke mmoja ni ujinga..
If you can't stand the heat, stay away from the kitchen.
Maelezo yote yapo hapa ....Ulishaambiwa, wanawake ni viumbe dhaifu Ila ishi nao Kwa akili.
Tafakari hili Kwa kina badala la kuilaumu ndoa.
Sku hizi watu pia wanalalamika hela hamna ila huwaoni wakiacha kuhassoMwamba siku hizi watu kulalamikia ndoa limekua jambo la kawaida.
Makazini wanalalamika.
Mtaani wanalalamika.
Siku hizi raia wanalalamika sanaa na ndoa zao.
Wapo wanaoishi kama misukule kwenye ndoa zao, ukiwauliza kwanini, eti kisa ""watoto wataishije tukiachana?""
Juzi nilipanda Costa umbali la Km 100, siti ya nyuma alikaa mmama, huyo mmama kuanzia safari inaanza mpaka inaisha ye anamuhadithia mwenzio jinsi mumewe anavyo chepuka na kumfanyia mambo ya ajabu kwenye ndoa yao.
Nikajiuliza "Huyu talaka haijui?""
If you can't stand the heat, stay away from the kitchen.
#YNWA