Mwamba siku hizi watu kulalamikia ndoa limekua jambo la kawaida.
Makazini wanalalamika.
Mtaani wanalalamika.
Siku hizi raia wanalalamika sanaa na ndoa zao.
Wapo wanaoishi kama misukule kwenye ndoa zao, ukiwauliza kwanini, eti kisa ""watoto wataishije tukiachana?""
Juzi nilipanda Costa umbali la Km 100, siti ya nyuma alikaa mmama, huyo mmama kuanzia safari inaanza mpaka inaisha ye anamuhadithia mwenzio jinsi mumewe anavyo chepuka na kumfanyia mambo ya ajabu kwenye ndoa yao.
Nikajiuliza "Huyu talaka haijui?""
If you can't stand the heat, stay away from the kitchen.
#YNWA