Nikiwa Bachelor 2014 (Nilisoma nikiwa service) nilikuwa natomb* mke wa mtu ambae ndoa yake ina miaka 12.
Mara ya kwanza nilimtongoza na sikujua kama mke wa mtu, ila baada ya miezi kupita ndio alinichana kuwa ye ni mke wa mtu.
Ila niliendelea kunyandua mpaka chuo kikaisha na kila mtu kwao.
Na trust me, wake zenu ni noma, maana akiwa home alikua ananitafuta kwa muda anaoona yeye unafaa, na likizo (akiwa kwake) sikuwa namtafuta.
Ila mapenzi yaliisha alivyorudi kwake nikamchana "ME AND YOU NO MORE, MPENDE MUMEO"
Hii ilikua 2018.
Ila huwezi amini, mwaka huu anataka kusoma course fulani hivi na kanibembeleza aje kusomea chuo mkoa nakoishi ili tu niwe karibu kumnyandua siku akijisikia hamu..!!!
Dah huwa nashangaa tu Mimi na ndoa ZENU.
HAWA NDIO WAKE ZENU NA KWENYE NDOA ZENU ZA MIAKA KIBAO.
#YNWA