Rafiki yangu yuko njia panda

Ukiona ndugu wanakulazimisha uoe mwanamke wanao mtaka wao kataa kwani huo ni mtego alafu kaa na mwanamke unaye mjua udhaifu wake usiende kuokotewa mwanamke na ndugu shauri yako mjinga hashauriwi huyo mwanamke anayekunywa pombe endelea nae na wewe anza kunywa kidogo kidogo kumpa kampani atakupenda kichizi ataacha pombe stress zake zikiisha.

Kwanza mwanaume gani hunywi pombe yani hata bia moja tuu. Hizo ela unatafuta za nini
 
Kibaya zaidi wameamua kumtafutia mchumba kabisa anadai ni kabinti kazuri tuu.

Bila ubishi Hii story ni yako mwenyewe,
 
Kwahiyo single mother ana handicap ya (1) au (+1.5), ili jamaa ashinde inabidi afunge goli na mwishoe iwe full time (2-1)...hapendi mnywa pombe Kwanini asiwe direct Ili baadae asije akarudi tena kuomba ushauri. Mambo ya kutoambiana ukweli ndiyo hufelisha mambo.
 
Asimuache mnywa pombe aisee bali amtafutie dawa tu anaacha mazima uzuri zipo na watu wameacha na tunaish nao mitaan kwasabab haya mambo ya utafutaj kipato yana mambo mengi sana unaweza kumuacha mtu mmesota nae kumbe uwepo wake kwako ndio sabab ya maendeleo unayoyaona leo ukaja jikabidh kwa kabint kana laana za ukoo huko maisha yako yakarud ya enzi za mwalimu kisa tu wazaz wamesema jamaa yako akumbuke walipotoka na chapombe wake akitafakar jibu atakuwa nalo na kama atahitaj dawa ya mtu wake kuacha anicheki akipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…