Rafiki zangu Wadigo, pelekeni watoto shule, formal schooling, zipeni msisitizo kama mnavyo zipa msisitizo "chuo" madrasa

Rafiki zangu Wadigo, pelekeni watoto shule, formal schooling, zipeni msisitizo kama mnavyo zipa msisitizo "chuo" madrasa

Kuna Lecturer wangu pale TIA Mungu amrehemu, alitupa story za masomoni huko nchini Israel. Akatuambia jamaa wanaamini unapokutana na muAfrika ni heri asiesoma utamwambia kitu atakuelewa ila aliesoma ndiyo kabisaaa haelewi mbumbumbu. Na kiuhalisia ni ukweli maana huko pwani tusiposoma hatuui albino tupate hela sasa nenda kwenye mikoa ya wasomi uone mziki.
 
Hajakataa, ila anasisitiza kwamba elimu dunia nayo ina umuhimu kama hio elimu akhera (madrasa).
exactly, ndicho ninachosema. halafu watoto hao wanakuwa vibarua kwenye kazi za wasomi. Si nawaona, , personal experince ndiyo maana nimeandika.
Madrasa yanawasaidia kujua muda wa kusali mara tano , namna ya kuzika maiti, namna ya kufukuza mke and the like!
 
Kagera mbona wasomi wengi ila mkoa ni maskini kuliko tanga

Nyie someni tutawaajiri kwenye biashara zetu kariakoo
 
Baadae kina Mzee Mohamed wanalalamika watoto wa kiislamu kufelishwa NECTA kumbe ni upuuzi wao tu
 
Back
Top Bottom