Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Nayafahamu mahusiano yao kabla hawajafunga ndoa. Japo mkewe alikua mkoani all the time. Nami nishaishi nao sana tu (interaction).
Kuna siku shem alizingua nikiwa kwao ambapo jamaa tulipanga tukutane kwake.
Ukweli ni kwamba nilimind na mood ikakata. Nkatoka nje, nikamwita mwamba nikamwambia kaa kushoto tukaongee bar. Akanizuia nisiwashe chombo ikabidi tukae kibarazani tuongee hapo sikurudi ndani.

Unajua kisa nn? Anammaind Jamal kipindi kile cha korona kuleta mgeni. Yaani sijui aliona mi nna korona tayari.
🤣🤣🤣

Dah hiiiiiiii🤭
 
Kabisa we mtu unampigia simu mke wake anampelekea hiyo simu alafu anamuamrisha aweke loud speaker asikie unaongea nae nini , kweli ndio mapenz hayo au na wewe mwanaume unakaribia kuwa shoga ?
Huu sasa utumwa. Jamal wangu naweza kukaa naye mahali mpaka saa 4 usiku. Mkewe akipiga anavunga kisha anasema huyu sitaki anizoee ratiba zangu za kurudi. Uzuri mke anampenda sana mume. Jeuri hana sema huwa anapima maji.
 
Kuoa sio kigezo, kwani yeye anashughulika na ndoa all the time?
mimi kutokuwa kwenye ndoa inamaanisha sijui kitu kuhusu ndoa?

Si kweli
Of course unaweza usijue madhoruba wanayokutana nayo Wana ndoa sasa atapoelekeza ukaribu zaid kwako kwanza mwanamke mwenyew atapojua huenda tatizo likaanza ktk hili Nina evidence hivi huna haha ya kulaumu zaidi Mwache afocus na mmbo yanayo muhusu ktk familia yake mpya
 
Huu sasa utumwa. Jamal wangu naweza kukaa naye mahali mpaka saa 4 usiku. Mkewe akipiga anavunga kisha anasema huyu sitaki anizoee ratiba zangu za kurudi. Uzuri mke anampenda sana mume. Jeuri hana sema huwa anapima maji.
Ndio ilivyo ukisimuliwa huwez kuelewa ila ndio hivyo kuna watu mandezi mpaka basi
 
Sasa mkuu unampa stori za ligikuu bara yeye anajua akitoka hapo kuna redio mbao inamngoja home unafikiri mtaelewana😁😁😁
 
Ndo ujue wale waolewaji magaidi balaa.
Antonnia , we si ndo uliolewa juzi? Njoo useme mnawafanyaga nini watoto wa watu.
Bro,mi nilisikia eti waoaji wanaonywa na kwamba wakithubutu kusema,watakufa.
 
Ubize na majukumu ya familia tu mkuu!
Jibu swali. Acha kupoteza watu. Au badae picha yako ije ichukuliwe shelia mkononi.
Jibu unalotoa hapa,linaendana na swali unaloulizwa?
Na uongo upunguze kidogo. Bro leo ameshinda anakutafuta mtaa mzima. Ulienda kuzama katika kina kirefu nini?! Ila na yenyewe majukumu tu
 
Unataka Mzee wa miaka 60 awe na ratiba kama za tineja! Kila jambo na wakati wake chini ya jua.
 
Unapooa sio kuwasahau washkaji ila vipaumbele ndivyo upelekea kuweka utofauti na washikaji na mda mwingine kukuta baadhi ya mambo yanakufanya uwe hivyo ndoa ni system and system drive human within ni hayo tu
 
Back
Top Bottom