Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Mkuu unapoengea nalo kihusu hii ishue anakuwa anasikiliza kwa makini lakin vitendo sasa ndio hamna kitu, kuna siku hivyo hivyo tumepiga ishue ambayo yeye ndio alikuwa front, tukapata M3 , bila aibu likanipa la mbili, laki nane kaenda kumtunza yule mwanamke wake kwenye birthday yan huku mimi naona, mtu kama huyu mbona ugonjwa wake hawez pona mkuu, mwanamke mimi hanibadilish msimamo wangu hata iweje…
Hao wamekutana pipa na mfuniko.
 
Kwa wanawake thats a big yes to me. Wanawake wengi maadui ni wanawake wenzenu tena wanaopenda kujifanya mashosti zenu wa kupika na kupakua. Hutaamini siku huyo rafiki yako asiyeolewa akianza kutembea na mume wako yani lazma roho ikutoke. Ila yapo yanatokea
Halafu cha kushangaza, hao mashosti ambao wameolewa ndio wanaotokaga na waume wa mashosti zao
 
Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!

Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Lazima mmbo yabadirike maana kwa kuwaza haraka haraka ameingia Hatua nyingine ya majukumu hivyo huna utachomshauri maana wew unakua bado hujaoa hivyo lazima a focus kwa wenzie walio oa ili kupata experience zaidi kuhusiana na mmbo ya ndoa
 
Mwanamke ukimwoa anakuja na principle zake, kuna jamaazangu yani simu usipige kuanzia saa moja wakiwa home lazima ipite kwa wife alafu wife akiipitisha ndio jamaa anapokea hata kama mna deal la pesa , kuna jamaa mwaka jana ivo ivo nlikuwa na ishue nae ya hela nimepiga simu haipokelewi , kumbe simu anayo mwanamke me niajipanga nkatafuta mshikaji mwingine tukaenda kwenye ishue nikavuta m2 , kesho linakuja kuzinduka lina buku 5 mfukoni yule mwanamke anataka hela akaanza kupiga simu kama kichaaa, sijawah kuipokea hiyo simu, WANAWAKE WANABUGISHA MUDA MWINGINE AISEE ACHA KABISAA
Jamal huwa anajua mke wake miyeyusho. Ameshawahi kuniomba radhi, akaniambia mwanangu mvumilie tu shemeji yako ndivyo alivyo.
Uzuri yule shem psychology yake ya hovyo mi nilishainyaka tangu wapo uchumba.
 
Umepata uhakika gani kwamba mkewe sio?
Nayafahamu mahusiano yao kabla hawajafunga ndoa. Japo mkewe alikua mkoani all the time. Nami nishaishi nao sana tu (interaction).
Kuna siku shem alizingua nikiwa kwao ambapo jamaa tulipanga tukutane kwake.
Ukweli ni kwamba nilimind na mood ikakata. Nkatoka nje, nikamwita mwamba nikamwambia kaa kushoto tukaongee bar. Akanizuia nisiwashe chombo ikabidi tukae kibarazani tuongee hapo sikurudi ndani.

Unajua kisa nn? Anammaind Jamal kipindi kile cha korona kuleta mgeni. Yaani sijui aliona mi nna korona tayari.
 
U
Jamal huwa anajua mke wake miyeyusho. Ameshawahi kuniomba radhi, akaniambia mwanangu mvumilie tu shemeji yako ndivyo alivyo.
Uzuri yule shem psychology yake ya hovyo mi nilishainyaka tangu wapo uchumba.
naona mkuu wanakujaga na ratiba zao sometime zinaharibu mipango, me nashangaa mbona sisi wanawake zetu wako very humble, anyways kila mtu abebe zigo lake
 
Lazima mmbo yabadirike maana kwa kuwaza haraka haraka ameingia Hatua nyingine ya majukumu hivyo huna utachomshauri maana wew unakua bado hujaoa hivyo lazima a focus kwa wenzie walio oa ili kupata experience zaidi kuhusiana na mmbo ya ndoa
Kuoa sio kigezo, kwani yeye anashughulika na ndoa all the time?
mimi kutokuwa kwenye ndoa inamaanisha sijui kitu kuhusu ndoa?

Si kweli
 
Back
Top Bottom