Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Rafiki zangu wanapooa ukaribu wetu hupotea ghafla, nini kinawapata huko?

Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!

Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
🎶 ..Blue vipi mbona sikusikii tena?
sikusikii ukiflow mbona sikusikii ukisema?
niko bize na baby jamani nishasema

(niko bize na wife jamani nishasema)... 🎶
 

Attachments

  • Screenshot_20231120_132607.jpg
    Screenshot_20231120_132607.jpg
    77.8 KB · Views: 2
Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa update mke mwema

Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke

Tupo hapa!!!!

Tumewaona wengi sana kama wewe lakini...
 
Hii sio ndoa yangu ya kwanza mkuu

Ukiachilia mbali mahusiano niliyopitia Yana heka heka za kila aina

Ila huyu nimemkuta Bikra hana makando kando kama mimi na niliyoanza nao

Oya kumkuta bikra isiwe kigezo cha kumuona malaika.

Kuna mtani wangu alioa bikra, yaani wiki nzima jamaa akitomba mtaa mzima tunasikia makelele, baada ya miaka kadhaa Oya wahuni wapimchakaza mke wa jamaa hadi ndoa kufa.

Usioneshe ulimbukeni mkuu, bora ukae kimya.

TUKO HAPA
 
Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa upate mke mwema

Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Hongera mkuu Mungu awabariki mfike mbali.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Hapana. Jamal sio mhuni. Kuna wakati mi sikuwa na kazi, nilikua na deal chache tu za pesa afu nimetoka mkoa kuhustle alinifadhili kuishi ghetto kwake karibia mwaka mzima.
Maana nilikaa July mpaka June mwaka unaofata.
Ni mwana hasa. Akiwa nacho mtakula na hata pocket money anakupa.
Ni mwana sana sana. Na tulikutana tu katika mazingira ya kazi, sikusoma naye na wala hatujakuwa wote utotoni.
Jama ni mwana, sema kule kuowa kumemtoa kwenye reli.
Daah!! jamali mtu poa sana
 
Hapana. Jamal sio mhuni. Kuna wakati mi sikuwa na kazi, nilikua na deal chache tu za pesa afu nimetoka mkoa kuhustle alinifadhili kuishi ghetto kwake karibia mwaka mzima.
Maana nilikaa July mpaka June mwaka unaofata.
Ni mwana hasa. Akiwa nacho mtakula na hata pocket money anakupa.
Ni mwana sana sana. Na tulikutana tu katika mazingira ya kazi, sikusoma naye na wala hatujakuwa wote utotoni.
Jama ni mwana, sema kule kuowa kumemtoa kwenye reli.
Basi jamal ni mtu

Nyakati hubadilika tu.
 
Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!

Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Hujui kama maisha ya binadam yana dhama 4.
Dhama ya utoto
Dhama ya ujana
Dhama ya familia
Dhamaya uzee

Sasa wewe unataka kila dhama uwe na watu haohao haiwezekani..
 
Back
Top Bottom