Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🎶 ..Blue vipi mbona sikusikii tena?Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Siyo wanaume tu, hata wanawake wakishaolewa wanakataa urafiki na rafiki yake kindaki ndaki, hata simu hapigi kisa kaolewa doooh!! Wanakosea sana [emoji13]
Hakuna(ga) tamu ya ndoaHamuwezi kumtatulia changamoto za kwenye ndoa kwasababu hamjui tamu ya ndoa na chungu ya ndoa.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwamba nikubaliane na wewe Kuwa ndoa nzuri?Halafu mambo ya simu yangu yanahusiana vipi na pointi zangu embu badili fikra za kishamba
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa update mke mwema
Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Usikubaliane ila tukubaliane na aliyeoa ndo anajua tamu na chungu ya ndoaKwamba nikubaliane na wewe Kuwa ndoa nzuri?
#YNWA
ngoja waliyo oa waje watupe uzoefu waoHakuna(ga) tamu ya ndoa
Ni chungu tuuuu
#YNWA
Hii sio ndoa yangu ya kwanza mkuuTupo hapa!!!!
Tumewaona wengi sana kama wewe lakini...
Yeah mimi mwenyewe ni malaika wa kifo nitafungaje ndoa ya kutenganishwa na kifo?Sasa wewe mwenyewe si malaika wa kifo?
Hii sio ndoa yangu ya kwanza mkuu
Ukiachilia mbali mahusiano niliyopitia Yana heka heka za kila aina
Ila huyu nimemkuta Bikra hana makando kando kama mimi na niliyoanza nao
Hongera mkuu Mungu awabariki mfike mbali.Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa upate mke mwema
Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Daah!! jamali mtu poa sanaHapana. Jamal sio mhuni. Kuna wakati mi sikuwa na kazi, nilikua na deal chache tu za pesa afu nimetoka mkoa kuhustle alinifadhili kuishi ghetto kwake karibia mwaka mzima.
Maana nilikaa July mpaka June mwaka unaofata.
Ni mwana hasa. Akiwa nacho mtakula na hata pocket money anakupa.
Ni mwana sana sana. Na tulikutana tu katika mazingira ya kazi, sikusoma naye na wala hatujakuwa wote utotoni.
Jama ni mwana, sema kule kuowa kumemtoa kwenye reli.
Wengi wakiolewa na wenye pesa wanaanza kutafuta wa size yao. Mwisho wa siku wanagundua kumbe pesa sio zao ni za waume zao. Wanajirudisha taratibu na kuanza kujiongelesha ohh ananinyanyasa na hela zake ......Tena awe ameolewa na mume ana pesa uwiiii mtakoma [emoji23]
Basi jamal ni mtuHapana. Jamal sio mhuni. Kuna wakati mi sikuwa na kazi, nilikua na deal chache tu za pesa afu nimetoka mkoa kuhustle alinifadhili kuishi ghetto kwake karibia mwaka mzima.
Maana nilikaa July mpaka June mwaka unaofata.
Ni mwana hasa. Akiwa nacho mtakula na hata pocket money anakupa.
Ni mwana sana sana. Na tulikutana tu katika mazingira ya kazi, sikusoma naye na wala hatujakuwa wote utotoni.
Jama ni mwana, sema kule kuowa kumemtoa kwenye reli.
Hujui kama maisha ya binadam yana dhama 4.Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani