Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Nadhani wanajua utawachukulia waume zao.Kwamba wasioolewa hawana la kuongea nao??! hahah maisha bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wanajua utawachukulia waume zao.Kwamba wasioolewa hawana la kuongea nao??! hahah maisha bhana
Yaani ndoa ikutenganishe na marafiki??Ndio maana ndoa hazidumu, cheki zinavyopigwa vita, soma comments uone. Mnang'ang'aniaje watu waliooa wakati ambao hawajaoa wapo kibao tu si muwe marafiki na hao?
Ya"ll clingy ASF! Takieni watu heri na mtafute marafiki zenu wengine 😂
Ni kweli nilikaa jela ya jf kwa muda kidogo nilienda tofauti na mihiko ya jukwaa .Aloo! [emoji1666]Siku hizi upo free!! Niliona uko banned nikajiuliza huyu nae kafanyaje tena??!
Ulichosema ni kweli, kuna watu wakioa wanaona wamemaliza kazi, kumbe ndio imeanza [emoji3]
Amekwambia hana rafiki hata mmoja? Anao wengine pengine, make peace with it.....Yaani ndoa ikutenganishe na marafiki??
Unaonaje kama tungeishi hivyo; mwalimu awe na marafiki waalimu tu, mbunge kwa wabunge wenzie tu, jobless kwa majobless wenzake, nk.
Unaonaje hapo?
Pole mkuuKuna kipindi nilipata majanga nikawa sipatikani hewani week nzima. Hapo nimeaga geto naenda Moro mara 1.
Baada ya mwamba kunikosa, hana namba ya mtu mwingine yoyote wa familia wala mchumba wangu.
Alipambana akapata namba ya mama yangu after 10 days.
Mama akampa namba ya mkwewe (mchumba wangu) ndio juhudi ikafanyika akanipata.
Nnavyosema hivyo namaanisha. Jamal sio mtu mbaya. Ila mkewe yule siyo.
Kumbe mnahamasishanaga sababu mnakua hamjapata mtu sahihi[emoji846]Oa na wewe uone kama utawafikiria haswa update mke mwema
Maana mimi nilikuwa timu kataa ndoa lakini baada ya kumpata ambaye tunawezana nimelazimika kuoa
Huyu kuna muda anakuwa rafiki, kuna muda anakuwa mama, kuna muda anakuwa mshkaji, kuna muda anakuwa demu, kuna muda anakuwa dada, kuna muda anakuwa mpenzi kisha ndo anarudi kwenye uhalisia Sasa anakuwa mke
Mkuu ebu kwanza tuachane na mimi mwanao Jamal nipe michongo ya kazi mkuuYaani ndoa ikutenganishe na marafiki??
Unaonaje kama tungeishi hivyo; mwalimu awe na marafiki waalimu tu, mbunge kwa wabunge wenzie tu, jobless kwa majobless wenzake, nk.
Unaonaje hapo?
Ni sahihi pia ni uamuzi mgumu kuvumilia mapungufu ya mwenzako siyo mchezoIlikuwa nzuri hadi uliposema maamuzi magumu…
Kuoa sio uamuzi mgumu, ni uamuzi sahihi.
Wamekuwa watu wazima hivyo wako na watu wazima wenzaoKuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Mbona kicheko chali angu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwezi kujua changamoto gani anapitia jipe muda panapostahili kumsaidia wewe msaidie play part yako.Hivi hapa tuna miezi kama 2 hatujazungumza wala kutumiana msg. Nakumbuka mara ya mwisho nilimtumia ishu fulani acheki anipe feedback. Ameniblue tick na amekausha......[emoji28][emoji28]
Mimi nikiowa atajuta huyu. Maana mama mtoto wangu anajua visanga vyake vingi. Tushakutana na Jamal mara 2 mimi nikiwa na mama mtoto wangu yeye ana madem tofauti.
Nadhani siku nikiowa ntapigwa marufuku hata kuongea naye.[emoji28][emoji28]
Sasa wewe mwenyewe si malaika wa kifo?Uzuri ni kwamba ndoa yangu sio ya kutenganishwa na kifo
Ni zile mmoja akiona hamuelewi mwenzie ni talaka faster
Kwa hiyo ulitaka uwe unashinda na waume za watu? Haujistukii?Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Tulia ndoa mpya hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we sema kweli?
Oa ili ujue sababu nini,lkn wakikuambia humu watakudanganya bureKuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Kwa mwanaume ni mgumu sana.Ilikuwa nzuri hadi uliposema maamuzi magumu…
Kuoa sio uamuzi mgumu, ni uamuzi sahihi.