Rage: Fei Toto akienda CAS ni kupoteza muda wake tu

Rage: Fei Toto akienda CAS ni kupoteza muda wake tu

Kuna watu wanafaidika kwenye hili sakata la Fei, kwa namna moja ama nyingine. Si bure...
Anachotakiwa ni kukaa chini na Yanga. Ajirudi na aombe kama wamuuze ama watakavyoamua.

Zaidi Fei ugali hauliwi kwa sukari, huliwa kwa chumvi. Utafanya sukari ipande bei bure...
Hata hili la ugali sukari kadanganywa, huyu mpemba huyu ni shida.
 
Back
Top Bottom