Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Hii inawahusu sana Wanaume wa Pwani hasa wale wa Daslam!
Kweli unaweza ukatoka nyumbani kwako ukaenda kununua Pweza na kumla kweli?
Tena kuna wengine wanapeleka zawadi mpaka nyumbani kwao watoto nao wale!
Pweza ana sura mbaya ya hovyo kabisa lakini kuna binadamu wanamla na wanashushia na beer kabisa na tuchumvi kidogo!
Watu wakapime mkojo aisee!
Kweli unaweza ukatoka nyumbani kwako ukaenda kununua Pweza na kumla kweli?
Tena kuna wengine wanapeleka zawadi mpaka nyumbani kwao watoto nao wale!
Pweza ana sura mbaya ya hovyo kabisa lakini kuna binadamu wanamla na wanashushia na beer kabisa na tuchumvi kidogo!
Watu wakapime mkojo aisee!