pretty good
Member
- Sep 17, 2016
- 36
- 26
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]bora sisi wa westlife kuna mtu kaja na za diamond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]bora sisi wa westlife kuna mtu kaja na za diamond
Disko inaanza sa kumi,hall limezungushiwa mashuka na mablanketi,watu wanatengeneza giza artificial ili mradi kubambia tu hahahausinikumbushe bwana, enzi zile complex casino!
Yaani madisco ya peke yenu yanakuaga fun sana! Kukiwa na boys full ufeki
ahahaaa nyie watuDisko inaanza sa kumi,hall limezungushiwa mashuka na mablanketi,watu wanatengeneza giza artificial ili mradi kubambia tu hahaha
Raha kweli kweli!ahahaaa nyie watu
ahahaaa hii kaliKuna kiongozi mmoja wa HUIMA alikuwa anaingia kwenye disco ana note majina ya member wake ili akawafukuze..anakuogelea karibu anakugusa ukigeuka kumwangalia hakwambii chochote zaid ya kukuandika kwa note book yake
debe lilikuwa linafunguliwa na masocial prefect wa mashule husikaRaha kweli kweli!
Acha kabisa,mara nyingi sector hiyo wanapewa wajanja wajanja wa dar! Disko likiisha unachukua bakuli lako unaenda dh mdogo mdogo kwa aibuuu kiana.debe lilikuwa linafunguliwa na masocial prefect wa mashule husika
ahahaa ni kweli masharobaro flani hiviAcha kabisa,mara nyingi sector hiyo wanapewa wajanja wajanja wa dar! Disko likiisha unachukua bakuli lako unaenda dh mdogo mdogo kwa aibuuu kiana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hapana mkuu, mi kipindi chetu kila disco lililofanyika pale shule nilihudhuria! wazee wa feedback walikuwa wanasimama karibu na mrango, sasa wamuone muumini mwenzao anaingia!!!!!
[emoji2] [emoji1] [emoji1] huo utani sasa...nayo hyo zamani....?bora sisi wa westlife kuna mtu kaja na za diamond
Umepita Iyunga boys?Sisi lilikuwa linaitwa BULL DANCE.
IyungaHawa jamaa hata Prepo walikuwa hawaingi madarasani...Wao wanakaa/ wanasomea Jidi..(masjidi)
Umepita Iyunga boys?
Iyunga na Loleza ha-haUmepita Iyunga boys?
Daaah basi Iyunga hiyo tulikuwa tunaita BULL DANCE... humo ndani ni vurugu kwanza kila mtu anajiona bonge gangsterLYAMUNGO BOYS