gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,185
- 570
Msijidanganye nyie mapoyoyo. Hakuna ICC wala ujinga wowote mnaofikiri. Wadanganyeni wajinga wenzenu huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msijidanganye nyie mapoyoyo. Hakuna ICC wala ujinga wowote mnaofikiri. Wadanganyeni wajinga wenzenu huko huko
Install Apk pure app store (iko kama google play store) kisha humo ndani utazikuta app kibao zikiwemo za VPN. Utajichagulia inayokupendeza kisha utainstall
VPN bana 🙌🏾😂😂😂 nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea 🇰🇷!!! 📢
Uko pande zipi kwa bibi? Nami nìmetoka sinvapore nimekuja hapa kwa bibi..tupeane connection...Nipo kwa Bibi, Uk.
Hapo awali nimetokea Japan, raha sana.
Hongera...Niko zangu Marangu na Halotel yangu, sina jambo 😗
Alooh kumbe unadamu ya kichaga eeh ndio mana mjanjamjanjaNiko zangu Marangu na Halotel yangu, sina jambo [emoji10]
Hii ikienda ICC inatupwa jalalani kama Ile ya Jecha.
Ingia Twitter utafute hiyo link yao maana kule play store wameipiga pini huwezi kupakua....Jaman eeh..! Me napata wapi VPN mbna me nipo nyuma sana nilibweteka jana na WIFI ya office..
Madhara ni Twitter au??JF haina madhara siku hizi.
Ofisi za JF zinajulikana zilipo, ndio maana siku hizi imekuwa kama Mwananchi iliyochangamka.
Ww nakutongoza wap up unabana alafu miaka imepita WW SI Bibi now au?Niko zangu Marangu na Halotel yangu, sina jambo [emoji10]
Itakuwa upo eneo LA jeshi.au karibu na jeshi... Maana kambi nyingi internet access ipo kama kawaida.Hahaha dah mie zinakataa install apk.
HahahahaaaKwasasa nipo Canberra Australia baada ya kutoka German na USA
Kwa mabeberu Barrick?[emoji23]Toka jana mi niko toronto[emoji28]