Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Jambo la kwanza ni kujua kuwa wanawake wanawaza sawa na wanaume ila tunatofautiana hisia tu. Ukijua ilo fanya mtongozo ukiwa wewe asilia achana a kuleta umarekani mwingi. Ndio maana vibabu wanatunyang'anya watoto wazuri mjini
 
Nimetoka kutongoza asaiv na nimekataliwa nipo naenda kwa dada wa niliyemtongoza. Hvyo hvyo maisha yataenda nikitoswa naenda kwa house girl halaf mama yan mpaka nipate.

Duhhh,,, hapo lazima utagegeda tu.
 
Kuna bibi wa miaka 72 yupoyupo tu hapa mtaani kwetu..
Kesho nikiamka asubuhi namtafuta natimiza wajibu wangu kama mwanaume[emoji51][emoji3]
 
Ukiachana na majukumu kwanza raha sana pale unapo mseduce msichana na kupima akili yake
Hapa sasa ndo majanga,nilitembelea ofisi
Fulani nikaona ngoja nifanye mazoezi
kiutani utani dah! nikashangaa nimekubaliwa
japo kwa masharti kwamba hapa ni kazini
tupange miadi ya kukutana sehemu
wakati mimi nilikuwa natest zari.
nilipotoka ni kimoja,na nikiendaga
ofisi ile ninajifanya bussy kinoma na salam
za juu juu tu.
 
Nina tongoza wanawake wawili wanaofanya kazi karibu karibu kampuni mbili tofauti. Na wana urafiki fulani hivi wa mbali. Siku wakiambiana watajijua wenyewe.
 
Tifiti hii imefanywa na nani? Wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…