Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Habari wana jamii.
Kuna hii tabia ya vijana wa kiume kuogopa kutongoza hasa kwa kuhofia kua watakataliwa. Kwanza ni kosa kuhofu au kua na mawazo ya kukataliwa au kushindwa katika maisha.

Jambo la pili na kubwa zaidi ni kwamba kutongoza ni sehemu ya kutimiza majukumu yako kama mwanaume. Huna haja ya kuhofu kutimiza majukumu yako hata kama utakosea.

Ukizaliwa tu mwanaume, kutongoza ni sehemu ya majukumu yako makuu kwenye Job Discription(JD) yako.

Tongoza kila mwanamke unaedhani au kuona unaweza kutongoza, tongoza kadri uwezavyo au upendavyo, usihofu kukataliwa, hofu kutokutongoza ila sio kukataliwa. Jisikie mwenye hatia kutokutimiza wajibu wako kuliko kujisikia hofu ya kukataliwa katika kutimiza wajibu wako.

Jifunze hata kwa ndege na wanyama, jogoo hutongoza kila tetea anaemuona bila kujali atafanikiwa au la, akifanikiwa hewala, akikosa alikua anafanya mazoezi ya kukimbia na kuweka mwili sawa.

Lakini pia usiogope kutongoza mwanamke mzuri kwa kuhofu kua lazima atakua na mume/mpenzi, wewe tongoza, sio kila mwanamke mzuri basi ana mume, wengi hua ni vacancy, ukijaribu unaweza kufill hiyo nafasi. Tongoza mahala popote u apojisikia au kuona kuna mtu unaweza kumtongoza na muda wowote.

Ni ushauri tu na kukumbushana majukumu.
Wewe hiyo tabia ya kutongoza tongoza sio nzuri unawe mtongoza hata dada yako ! kuwa makini
 
akishakubali mwambie achague kati ya pesa ama mapenzi, na akisema pesa mwambie huna nafasi kwangu, kwa sababu huwezi sifia chakula kitamu wakati hujakionja
 
Mm sijaona ushauri hapo wabongo bana eti MTU anakushukuru Kwa ushauri hivi kiuhalisia hapo kuna ushauri gani zaidi ya kutongoza kila ubeti tongoza tongoza imekuwa tongoza

Nategeme utoe mbinu za kutongoza na ushauri huo uguse mambo ambayo yatamvutia MTU akatongoze

Umekaa getto umejipigia puchu vibao vimejaa kwenye boxer ukajikuta unapita njiani ukijiimbia kawimbo ka kutongoza kuondoa stress ukaleta humu JF kutushirikisha upuuzi wako

Acha ujinga
 
Ngoja nianze kutongoza weekend hii. Upweke sio dili kabisa.

Naweza kupata nafasi.
 
Mwanaume Kutongoza idadi nyingi ya wanawake hiyo inamsaidia yeye kuwa na akiba tosha za wanawake
Pia inampa ujasili ktk mahamuz yake kwa wanawake zake
Kwel kabsa na stock yang ya kutosha sasa hivi fresh tu
 
pamoja sana kuna mmoja nimekutana nae hapa ngoja nifanye yangu
207a23faf81deee55be02996a2624e37.jpg
 
Tatizo madem wa twn wanazngua ktu kimoja. Ukpga sound. Kesho yke ukimwita anakwambia sna naul. Ukmwambia tumia yko takuludshia, unashangaa bda ya dak10 kafka na bajaji af anakwambia.MLIPE PESA YKE. Ukiuliza bei gan unaambiwa elf20. Hapo bdo nauli ya kuludia. Hajala. Umpe na Kifuta jasho pia maana huwez mmega bureee!!! Mimi nmeamua kutokutongoza kbsaa aisee.

Bora niwe na dem mmoja wa kuniomba elf20 lakn sio hawa wa eof50 kila akja
 
Back
Top Bottom