Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah true saykaka unapima ladha ya maneno kwa mwanamkee au nguvu ya maneno yako kwake? kwa taarfa yako sio wanao kukubalia wana nia ya kua na wewe ,wwngne its yes to plz the fool,wengine wana kubali kwa mda ule tu wakifka makwao awajui nini ulo ongea,na ndo maana mwanamke anaweza kukupa nambaya yake ya cmu ukampigia asipokee mkuu,na hofia kuarbu mda wako bure kwa kujidanganya kumbe wao wana kuchukulia kama comedian
Nimepiga mstari na kubadili rangi kwa msisitizo!!!kaka unapima ladha ya maneno kwa mwanamkee au nguvu ya maneno yako kwake? kwa taarfa yako sio wanao kukubalia wana nia ya kua na wewe ,wwngne its yes to plz the fool,wengine wana kubali kwa mda ule tu wakifka makwao awajui nini ulo ongea,na ndo maana mwanamke anaweza kukupa nambaya yake ya cmu ukampigia asipokee mkuu,na hofia kuarbu mda wako bure kwa kujidanganya kumbe wao wana kuchukulia kama comedian
Ha ha ha. Uuuuwi!!! Yaani ghafla unaanza kujiongelesha "mambo mrembo? uko poa? umependeza...."Haujawahi kufanya kosa ukajitngoza mwenyewe kweli?