Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

mi kwenye simu yangu draft sms kuna neno nakupenda demu nikiona anaonyesha dalili kuchukua namba then namuuliza nikuambie kitu akiuliza kitu gani naenda draft sms yangu natuma
 
tupo wengi Mkuu hata mm inatogea tu napenda na Demu lakini kumuita Demu na kuanza kumtongoza sijawai
 
mkuu upo kama mm,... me habari za nakupenda siwezagi madame wenyewe hawa wakujitongozesha wenywe, me huwa navuta tu mzgo
 
Kwan unataka nn wakat unawagegeda tu,,sound haiitajik tena ukishawavua pichu,,lengo la sound ni wakavulie pichu ila wakishavua haina haja tena
 
mi kwenye simu yangu draft sms kuna neno nakupenda demu nikiona anaonyesha dalili kuchukua namba then namuuliza nikuambie kitu akiuliza kitu gani naenda draft sms yangu natuma
Hahahah[emoji23],the craziest thing i ever heard,..so amusing..nadhan nifanye hiv pia,jus copy n paste the phrases
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,..

Kiukweli tokea baleh inikute, nimekua na mahusiano ya kimapenz na dada zetu hawa, ila mahusiano haya yote hua yanaanzaga tuu from nowea,mwisho najikuta nimeclick na dem, etc,..ila sijawai tongoza, ile ya soundi za nakupenda, nataka uwe dem wangu etc, stuffs like that..

Hua baada ya kufahamiana, dinner mbili 3, then tunavunja amri ya 6. Sasa hali hii imenifanya niwe domo zege indirectly maana kuna mdada nipo nae ila ame demand nimtongoze, meaning she wants to hear me sayin em words n nakupenda.
Sasa ilikua mtihani na siyo kwamba simpendi.
[emoji3][emoji3]sasa hapo unatongoza nini sasa wakati keshakwambia umtongoze automatically habari imeisha.
 
[emoji3][emoji3]sasa hapo unatongoza nini sasa wakati keshakwambia umtongoze automatically habari imeisha.
Nimefanya hvo jion hii kwa mara ya kwanza,.actualy huyu dda tayar nishaga mgegeda skunying ila nilikua sjampigaga mistar sasa akanambia anataka nimwambie nampenda,yaan akasema anataka nianze frm scratch kumtongoza,.maana skumtongozaga alinizoea tuu nkamtwanga
 
nmemkumbuka mpnz wng wa zaman asee ye alidemand nimtongoze baada ya kuwa kwe mahusiano kwa miaka 2
 
This is 27 ila bado na sioni haja mbona wananileta sana kwanza wa kuwafuatilia wanasumbua tutachagua wanaojileta tu
 
Nimefanya hvo jion hii kwa mara ya kwanza,.actualy huyu dda tayar nishaga mgegeda skunying ila nilikua sjampigaga mistar sasa akanambia anataka nimwambie nampenda,yaan akasema anataka nianze frm scratch kumtongoza,.maana skumtongozaga alinizoea tuu nkamtwanga
Hahaha haya ndo yale mambo ya kukaa na mtoto wa watu unazaa nae watoto bila kutoa maali siku akifa unadaiwa.

Kama kazoea kuambiwa nakupenda, basi wewe mwambie I love you.
 
Back
Top Bottom