DCI Comrade One
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 557
- 718
Subiri kutongozwa ww na wanaume. ..bwege ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah[emoji23],the craziest thing i ever heard,..so amusing..nadhan nifanye hiv pia,jus copy n paste the phrasesmi kwenye simu yangu draft sms kuna neno nakupenda demu nikiona anaonyesha dalili kuchukua namba then namuuliza nikuambie kitu akiuliza kitu gani naenda draft sms yangu natuma
Tena ni simple sanaHahahah[emoji23],the craziest thing i ever heard,..so amusing..nadhan nifanye hiv pia,jus copy n paste the phrases
Ngumu kumeza,..i myt do everythn she wants ila hilo neno had litoke duuh,na sio kwamba hua sipend,ila sjui nna ninSi umwambie tu nakupenda
[emoji3][emoji3]sasa hapo unatongoza nini sasa wakati keshakwambia umtongoze automatically habari imeisha.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,..
Kiukweli tokea baleh inikute, nimekua na mahusiano ya kimapenz na dada zetu hawa, ila mahusiano haya yote hua yanaanzaga tuu from nowea,mwisho najikuta nimeclick na dem, etc,..ila sijawai tongoza, ile ya soundi za nakupenda, nataka uwe dem wangu etc, stuffs like that..
Hua baada ya kufahamiana, dinner mbili 3, then tunavunja amri ya 6. Sasa hali hii imenifanya niwe domo zege indirectly maana kuna mdada nipo nae ila ame demand nimtongoze, meaning she wants to hear me sayin em words n nakupenda.
Sasa ilikua mtihani na siyo kwamba simpendi.
For sure broo!usiseme ujawahi tongoza!! kupanga miadi na dinna ni utongozaji pia
sema ujawahi kumwambia mwanamke nakupenda sio kutongoza
[emoji23][emoji23][emoji23]Kana kwamba ni ukoo mmoja na ngekewa.
We jamaa bhana,
Nimefanya hvo jion hii kwa mara ya kwanza,.actualy huyu dda tayar nishaga mgegeda skunying ila nilikua sjampigaga mistar sasa akanambia anataka nimwambie nampenda,yaan akasema anataka nianze frm scratch kumtongoza,.maana skumtongozaga alinizoea tuu nkamtwanga[emoji3][emoji3]sasa hapo unatongoza nini sasa wakati keshakwambia umtongoze automatically habari imeisha.
Hahaha haya ndo yale mambo ya kukaa na mtoto wa watu unazaa nae watoto bila kutoa maali siku akifa unadaiwa.Nimefanya hvo jion hii kwa mara ya kwanza,.actualy huyu dda tayar nishaga mgegeda skunying ila nilikua sjampigaga mistar sasa akanambia anataka nimwambie nampenda,yaan akasema anataka nianze frm scratch kumtongoza,.maana skumtongozaga alinizoea tuu nkamtwanga