Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Dude,i have ever been wit a girl for 3yrs,n mwingne 4yrs,na nilikua nawapenda kinoma,yan ile kupenda ya had kuvuka border,kumfata mtu mkoa etc,but i neva tell em hzo mambo pindi napoanza nao,inatokea tunakua tuu
Sababu ya kuachana? Umekuwa nao muda mrefu, pengine umeachana nao kwa kuwa hawajawahi kusikia ikiwatamkia kuwa unawapenda.
 
Sasa kama unahonga unategemea nini? Kwa taarifa yako wewe ndio mtongazaji hatari duniani, kwa style hio hachomoki MTU.
 
MI SIJAWAI ILA NISHAKAMUA WENGI SI SANA NA NINAO WENGINE MPAKA SASA...WAMEPENDA TU NAVOWA TREAT NA SWAGA NA KITANDANI.....
 
Kwangu imekua kama burudani, pale ninapotongoza na kupata ushindi, basi moyo hufurahia sana. Nimekua na tabia ya kufurahia jambo hili, kwani sio kila ninaemtongoza huwa namalizana nae au naendelea kumfatilia, la!

Hata nisipokaa na genye ya kugegeda, lakini nikimuona mrembo akikatiza mbele yangu basi moyo hutamani kumuita na kupima ladha ya maneno yangu kama ni matamu moyoni mwa mrembo huyo.

Moyo wangu hufurahia ushindi niupatao, lakini sio wote nilio na lengo la kuwatafuna ila kwakweli napenda sana kutongoza na huwa nisipotongoza ndani ya siku tatu najiona mnyonge.

Na matokeo mazuri niyapatayo ndio maana nazidi kupendelea kuwasemesha wanawake kwani nimegundua baadhi ya wanawake huburudika na ladha ya maneno ya mwanaume, wanafurahi sana.

Simaanishi kwamba kila nimtongozae namtafuna, la! Ila napenda tu kutongoza.

Na kuna wengine nawatongoza na wanakaa mkao wa kula then hawanioni.

Kutongoza kutamu aisee!
 
Back
Top Bottom