Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Wanaume wengi hii mbinu huwaga zimewakalia kushoto.....lkn itakuwa ubahili!

Hakuna mwanamke atakayekupenda hii dunia kama una mkono wa birika!...mwanamke hata kama analipwa 20m per month na wewe mwanaume unasukuma mkokoteni[emoji23] [emoji23] ..still anataka hela ako!...this is naked truth[emoji15]

Huu ni ukweli mchungu
Kabisa tena My dear ila tu tuhurumiane[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kabisa tena My dear ila tu tuhurumiane[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi binafsi kwenye mahusiano yangu right?....of course nafanya kazi na my soul ni mfanyakazi! ( sema huyu mjanja kashanisomaga ramani yangu kitambo so ananijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] )

Siangalii vikubwa ila careness,humble, tunaishije huh? na tu huwa napewa vizawadi vya kingese kinomaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....but naapreciate kinoma!

Sasa limwanaume lingine linakuingia kikavu kavu tuu lazima ulitoe nduki daadekii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
chongaa kibishoo
Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.

Kuna siku nilikutana na mwanamke mmoja, kwenye kujaribu bahati siku 2'3 akanijibu kwa text nipo poa ila nipunguze ndevu. Halafu ndevu zenyewe zilikuwa za wastani tu. Nikaona huyu mwanamke mbele ya safari ataniambia nipunguze na Afro langu kabisa. Nikampotezea, nikaendelea na mishemishe zangu za kutafuta hela.
 
Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]


Nimekupa hizi mbinu kwa kukuonea huruma tu mkuu...wanaume wengi very shallow na mapenzi

Hebu Nilale mie
Hapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".
 
Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.

Kuna siku nilikutana na mwanamke mmoja, kwenye kujaribu bahati siku 2'3 akanijibu kwa text nipo poa ila nipunguze ndevu. Halafu ndevu zenyewe zilikuwa za wastani tu. Nikaona huyu mwanamke mbele ya safari ataniambia nipunguze na Afro langu kabisa. Nikampotezea, nikaendelea na mishemishe zangu za kutafuta hela.
Katiku kitu sipendi kupangiwa nywele ila kuna sehem unabidi utoe.
 
Mimi binafsi kwenye mahusiano yangu right?....of course nafanya kazi na my soul ni mfanyakazi! ( sema huyu mjanja kashanisomaga ramani yangu kitambo so ananijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] )

Siangalii vikubwa ila careness,humble, tunaishije huh? na tu huwa napewa vizawadi vya kingese kinomaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....but naapreciate kinoma!

Sasa limwanaume lingine linakuingia kikavu kavu tuu lazima ulitoe nduki daadekii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeanza kuangalia hpo kwenye (soul) nikafaham kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Sema unajua nin kila mtu na mtue mwanzo hua mgumu kila mkivibe kila kitu kinakua sawa.
 
Hapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".
Haaahaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....angempa K tu ndo angedata zaidi[emoji15] ....hizo ni mbinu tu za ma HB

Ila huwaga hawana lolote kwenye ulimwengu wa mapenzi, huwa wanageuka kuwa marioo wa mwendokasi[emoji15]

Kabinamu kangu mwaka Jana yalimkuta kumpenda Hb asee nilimstua fasta maana deposit yake ya 30m bank ingeliwa na huyo muhuni maaaamaae[emoji15] [emoji15]
 
Hapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".
nimeshachukua point apoo...
 
kwani we ni ostazi kaka au sheik..au una imani za kikalasinga?? siupunguze tuuh kama mtoto kakushauri...
Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.

Kuna siku nilikutana na mwanamke mmoja, kwenye kujaribu bahati siku 2'3 akanijibu kwa text nipo poa ila nipunguze ndevu. Halafu ndevu zenyewe zilikuwa za wastani tu. Nikaona huyu mwanamke mbele ya safari ataniambia nipunguze na Afro langu kabisa. Nikampotezea, nikaendelea na mishemishe zangu za kutafuta hela.
 
Back
Top Bottom