Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Kabisa tena My dear ila tu tuhurumiane[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wengi hii mbinu huwaga zimewakalia kushoto.....lkn itakuwa ubahili!
Hakuna mwanamke atakayekupenda hii dunia kama una mkono wa birika!...mwanamke hata kama analipwa 20m per month na wewe mwanaume unasukuma mkokoteni[emoji23] [emoji23] ..still anataka hela ako!...this is naked truth[emoji15]
Huu ni ukweli mchungu
Mmejirahisisha sana mkuu tofauti na 2000'sSio kweli mkuu...nakuhakikishia
Mimi binafsi kwenye mahusiano yangu right?....of course nafanya kazi na my soul ni mfanyakazi! ( sema huyu mjanja kashanisomaga ramani yangu kitambo so ananijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] )Kabisa tena My dear ila tu tuhurumiane[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yes mkuu...but wengine bado wako hotMmejirahisisha sana mkuu tofauti na 2000's
Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.chongaa kibishoo
Haaahaaa....kwa mara ya kwanza nimezungumzia uhalisia wangu JFnimefurahia post yako kwani imejaa smile mwanzo mwisho[emoji23]
Sijagenelolizi mkuu ila ktk kumi,sita wanajirahisisha,wanne ndo wanaojitambua(aniofisho stadi)Yes mkuu...but wengine bado wako hot
Duhh basi sawaSijagenelolizi mkuu ila ktk kumi,sita wanajirahisisha,wanne ndo wanaojitambua(aniofisho stadi)
Hapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]
Nimekupa hizi mbinu kwa kukuonea huruma tu mkuu...wanaume wengi very shallow na mapenzi
Hebu Nilale mie
Aisee! imekaa vyemaHaaahaaa....kwa mara ya kwanza nimezungumzia uhalisia wangu JF
Katiku kitu sipendi kupangiwa nywele ila kuna sehem unabidi utoe.Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.
Kuna siku nilikutana na mwanamke mmoja, kwenye kujaribu bahati siku 2'3 akanijibu kwa text nipo poa ila nipunguze ndevu. Halafu ndevu zenyewe zilikuwa za wastani tu. Nikaona huyu mwanamke mbele ya safari ataniambia nipunguze na Afro langu kabisa. Nikampotezea, nikaendelea na mishemishe zangu za kutafuta hela.
mnatumiana ipasavyo inaonesha daah paka wivu ila kuwa makini asikuchakaze sanaa siunajua mafisi tupoo ....natania tuuh.Anafaidi kinoma na mimi namfaidi vilivyo[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeanza kuangalia hpo kwenye (soul) nikafaham kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] .Mimi binafsi kwenye mahusiano yangu right?....of course nafanya kazi na my soul ni mfanyakazi! ( sema huyu mjanja kashanisomaga ramani yangu kitambo so ananijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] )
Siangalii vikubwa ila careness,humble, tunaishije huh? na tu huwa napewa vizawadi vya kingese kinomaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....but naapreciate kinoma!
Sasa limwanaume lingine linakuingia kikavu kavu tuu lazima ulitoe nduki daadekii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haaahaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....angempa K tu ndo angedata zaidi[emoji15] ....hizo ni mbinu tu za ma HBHapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".
nimeshachukua point apoo...Hapa unanikumbusha yupo kaka mmoja kazini. Sio mtu wa pamba kali lakini yuko romantic. The way anavyocare unaweza hisi tayari mmekuwa wapenzi. Kuna dada alikutanishwa nae kwa lengo la kusaidiwa mambo ya chuo huko. Kazi ilipokamilika dada akatuambia anashukuru anaondoka salama. Angeendelea kuwa pale basi angeachia. Akasema "huyo kakaenu ni kama ana sumaku. Hatongozi, ila Jinsi anavyocare na treatment zake basi binti ndo unajikuta unajisogeza kwake".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....haaahaaa...tunachakazana daaadekimnatumiana ipasavyo inaonesha daah paka wivu ila kuwa makini asikuchakaze sanaa siunajua mafisi tupoo ....natania tuuh.
Ndio. Ndevu niwe naziona tu barabarani lakini sio kulala nazo kitanda kimoja. Kwanza naona zitanikosesha Uhuru wa kufanya yanayopaswa kufanyikaHaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ungempalaza
Kibishoo hapana, nitabakia kuwa mimi kama mimi ila kuwa na muonekano ule wenye haiba, yah! Kwa kiasi chake nipo.
Kuna siku nilikutana na mwanamke mmoja, kwenye kujaribu bahati siku 2'3 akanijibu kwa text nipo poa ila nipunguze ndevu. Halafu ndevu zenyewe zilikuwa za wastani tu. Nikaona huyu mwanamke mbele ya safari ataniambia nipunguze na Afro langu kabisa. Nikampotezea, nikaendelea na mishemishe zangu za kutafuta hela.