Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Mim pengine lbda ila sifkirii.Kwanini mkuu..kuna kitu utakuwa ulikuwa unakosea kwenye uhusiano wako[emoji23] [emoji23] [emoji15]
basi huyo demu mshamba kabisaa hajui kama watoto wenzake wanataka uchebe siku hizii...mi nina vimalaika mwaka wa 3 mkuu havikui sijui nani kaniloga paka nawaza nijiteke labda nitarudi nimechakaa kama MO..Mimi si ustadhi/sheikh ni jamaa flani hivi mwenye mapigo ya kitofauti tofauti. Halafu ndevu zenyewe za kutisha bhasi! Nimeziachia kiaina tu zile za chini chini. Yeye anataka nipunguze kama zinaanza kuota.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]basi huyo demu mshamba kabisaa hajui kama watoto wenzake wanataka uchebe siku hizii...mi nina vimalaika mwaka wa 3 mkuu havikui sijui nani kaniloga paka nawaza nijiteke labda nitarudi nimechakaa kama MO..
AiseeVery truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!
Kuna kitu kinaitwa mazoea. Ngoja nikumegee sehemu ya siri yangu, naweza kuonekana wa maajabu kidogo ila ndivyo nilivyo. Binafsi nikifuga nywele huwa naziwekea " record " labda nimekaa mwaka 1 na miezi 5 pasipo kunyoa zaidi ya kuchonga tu. Hiyo kwangu mimi ni " record " na huwa naitunza, kinachofuata ni namna ya kuivunja hiyo "record". Kwa hiyo, nanyoa nywele zote nabakisha za "brush" tu naanza tena safari nyengine.Mim napenda sana kukaa na nywele na zikiwa katika hali nzuri.
Imekua kwa watu wengi hawapendi kuniona na nywele ila siku nliokata kuna wengine wakaniambia ukieka nywele ndio unpendeza zaidi.
Huyu ni wew ulitype hivi?Very truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!
Kabisa Mkuu.Kuna kitu kinaitwa mazoea. Ngoja nikumegee sehemu ya siri yangu, naweza kuonekana wa maajabu kidogo ila ndivyo nilivyo. Binafsi nikifuga nywele huwa naziwekea " record " labda nimekaa mwaka 1 na miezi 5 pasipo kunyoa zaidi ya kuchonga tu. Hiyo kwangu mimi ni " record " na huwa naitunza, kinachofuta ni namna ya kuivunja hiyo "record". Kwa hiyo, nanyoa nywele zote nabakisha za "brush" tu naanza tena safari nyengine.
Kwa mantiki ya hapo juu, ukinyoa nywele ambazo umekaa nazo kwa takribani mwaka 1 watu lazima watakuona kama kituko tu. Ila baadae watakuzoea na lile jina ulilikuwa unaitwa la HB linarudi tena.
Wakati mwengine ni vizuri kuusikiliza moyo wako na kufanya kile unachopenda maadam hakina madhara.
Hahaha! Mimi ndani ya wiki 3 napitia salon. Pole sana.basi huyo demu mshamba kabisaa hajui kama watoto wenzake wanataka uchebe siku hizii...mi nina vimalaika mwaka wa 3 mkuu havikui sijui nani kaniloga paka nawaza nijiteke labda nitarudi nimechakaa kama MO..
shukrani kaka sema nalo litapita pia..Hahaha! Mimi ndani ya wiki 3 napitia salon. Pole sana.
AiseeNdio. Ndevu niwe naziona tu barabarani lakini sio kulala nazo kitanda kimoja. Kwanza naona zitanikosesha Uhuru wa kufanya yanayopaswa kufanyika
[emoji15]Aisee
mambo witness...hope na mm umepata kazawad kangu..sijaja mkavu[emoji15]
mi kuna binti nilikua nasoma nae bhana sasa nilikua nimemuelewa sana kama kawaida ukimpenda mtu huwezi kujizuia kumkodolea macho mara kwa mara ,cha ajabu sasa kila nikimuangalia namkuta na yeye ananitazama,moyoni nikajisemea huyu shorii atakua amenielewa pia daah what a coincidence?..basi siku nimejipanga hatari nikapiga moyo konde kwenda kumsemesha mrembo daah kumbe huo ni mtego ili nijilengeshe aiseee aloo kilichonikuta aisee nilipewa vya mbavuu ilibidi nipige pozi kutongoza mwaka mzima kwanza nijiulize nakosea wapi au nina gundu..wanawake nyie shenzi sanaaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wa bush mnajua kijifagilia wakati mnatiwa kwa 500tshTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Acha kumsema hivoo shoo wangu...wapi kasema yy ni wa bush?[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wa bush mnajua kijifagilia wakati mnatiwa kwa 500tsh
Wapo mikoani tu? Hilo sina uhakika nalo sana,maana mikoani ni kupigana ngwala na kumalizana maporiniTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)