Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Bado kuna kutongozana tuu? Siku hizi unashika tu mkono unaenda nae.
 
nimekusoma mkuu Mr Rocky na asante kwa mawazo yako chnaya mkuu,mimi pia niko hivyo unajua banah hayo mambo tunayabadilisha tu kutokana na ushetani unaotuingia wanadamu,ila kiukweli mtoto wa kike kutongozwa ndo raha yake na si kutongoza na nafikiri mwanume anapenda zaidi kutongoza na anaona raha sana response kutoka kwa mtoto wa kike mwenye aibu na haya,halafu hapo usiombe binti anayetongozwa na ye awe anampenda jamaa,hapo ni full sitaki nataka kwa kwenda mbele,na hiyo inaongeza mvuto na mshawasha kwa mwanaume asiee,sio mtoto wa kike macho makavu unamuamulia mwanaume,looohh hata haipendezi,mvuto wote kushnei.


 
Last edited by a moderator:

ina raha sana asikuambie mtu nikitongozwa najisikia raha nakuzungusha hapa na pale kutikiza kiberiti acheni ukute mwanaume mwenye maneno yake ya mvuto ....mwanamke kumtongoza mwanaume sio kabisa na hayo mahusiano hayatadumu..

tatizo kwa sasa watu wapo digital impoteza maana ya kutongoza kabisa
 

kweli mkuu mara nyingi haileti picha nzuri kwa mwanamke kumtongoza mwanume.
 
Si kweli kaka kutongozana bado kupo hata kama ni kwa uchache lakin amini kupo na kuna watu wanakuthamini sana,hao wa kushika mkono na kuenda nao ndo wale wasiojielewa mkuu ila kwa wanaojielewa na kutambua thamani yao ni lazima umtongoze na kumsotea mkuu MUSSOLIN.
bado kuna kutongozana tuu? Siku hizi unashika tu mkono unaenda nae.
 
Last edited by a moderator:
Kutongoza raha sana. Haswa mtoto anapojidai kukataa
kataa....
 
Mi nmewahi kuexpirience Mara tatu to be honest wote niliishia kuwaumiza so nafikiri nivizuri tukabaki na tradition zetu ingawa udigital umebadilisha dhana nzima suala hilo kwa kuleta uneutral!
 
Asante mkuu ilikuwa inanisumbua sana hii issue ya hawa wadada wa siku hizi hawana haya wala hawajui vibaya thnk you Blue G,
 
ushaona mkuu?yaani ni full burudani afu usiombe na mtoto uaneyefukuzia ana viaibu afu naye anakupenda so anacheza ile ya sitaki nataka,daaahhhh utaomba asikukubalie uwe unamtongoza kila siku aiseee,haaaaaaahaaaaaaaaaaaaa lakini ukiona binti macho makavu anakusarandia inamaliza nguvu kwa kweli.
Kutongoza raha sana. Haswa mtoto anapojidai kukataa
kataa....
 
sijakupata vizuri mkuu,wote hao uliowahi kuwaumiza,uliwaumiza kwa ajili gani?ni wao ndio waliokuapproach au ni wewe ndo uliwaaproach?
Mi nmewahi kuexpirience Mara tatu to be honest wote niliishia kuwaumiza so nafikiri nivizuri tukabaki na tradition zetu ingawa udigital umebadilisha dhana nzima suala hilo kwa kuleta uneutral!
 
karibu mwaya

nilifungua hii hasa kutokana na thread yako moja hivi uliyoifungua hivi karibuni ilikuwa inahusiana na hii some how,hope comments za watu mbali mbali humu zitakupa relief na kukusaidia kwa kiasi kikubwa.

any way Leomimi if you dont mind me asking and if you are not embarrsed to answer are a womana or a man?
Asante mkuu ilikuwa inanisumbua sana hii issue ya hawa wadada wa siku hizi hawana haya wala hawajui vibaya thnk you
 
Last edited by a moderator:
hapo sasa mwayego,nimeipenda hii comment yako bure Katavi ngoja niiambie i love you Katavi 's comment mwaaaaaa!!

afu na wewe Katavi acha basi kudodge kipindi em na wewe tupe maoni yako basi juu ya hili.
Na wale wanaotongoza vijana wadogo na kuwahonga wanaangalia nini?
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu ilikuwa inanisumbua sana hii issue ya hawa wadada wa siku hizi hawana haya wala hawajui vibaya thnk you

Si mmekuwa mkipigania gender equality hayo ndio madhara yake. Believe me sisi wanaume ke akituaproch so direct mara nyingi atakuchukuliwa easy lakini si Mara zote sometime inadepend na uwelewa na civilization iliopo kati yenu ikitokea vitu hivyo haviko sawa mtaishia kuumizana tu!
 
hapo sasa mwayego,nimeipenda hii comment yako bure Katavi ngoja niiambie i love you Katavi 's comment mwaaaaaa!!

afu na wewe Katavi acha basi kudodge kipindi em na wewe tupe maoni yako basi juu ya hili.

Yote uliyosema yana ukweli. Kazi ya mwanaume ni kutongoza na hasa mbinu mbalimbali zitatumika pale anapopata mwanamke anayevutiwa naye. Anapotongozwa mwanaume inakuwa ni ajabu maana mwanamke kazi yake si kutongoza.
 
yote uliyosema yana ukweli. Kazi ya mwanaume ni kutongoza na hasa mbinu mbalimbali zitatumika pale anapopata mwanamke anayevutiwa naye. Anapotongozwa mwanaume inakuwa ni ajabu maana mwanamke kazi yake si kutongoza.

asante kwa mchango wako mkuu.
 
Blue G kweli kabisa nakubaliana na wewe. Umsumbukie mtu kidogo akuzingue kidogo na hata siku akikuambia anakupenda ukienda nae kwako akusumbue kidogo kumpata sio kirahisi rahisi tuu
Sio yule anajileta kwako mzima mzima na kila kigezo kinaonyesha kuwa anakutaka na anajilengesha kwako hapo kwa kweli unaanza kuwaza mengine na siku ya kumchoka unampa kavu kabisa sikukupenda ila ulijipendekeza mwenyewe na wala sikuwa nakupenda zaidi ya kuact kuwa nakupenda ili kukuridhisha
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kipengele namba tatu hujakosea hata kidogo, kusema ukweli jinsia ya kike akikuzimika kwa kweli hata kama ulikuwa huna hisia nae itabidi ujilazimishe ili kumridhisha yeye na kumkatalia(kumtolea nje) inakuwa ngumu unaona kama utakuwa unamwangusha.

Hapa sijazungumzia wale madada poa, sungusungu au maharage ya mbeya, nazungumzia wale wa kawaida(wanaojiheshimu) ambao wewe kichwani mwako hayupo na wala hufikirii/humfikirii chochote kuhusiana na kupeana raha za dunia
 
mm mama kayai alinitongoza........nikamkatalia baadaye nikamtafuta nikamtongoza kiume sasa ili kuendeleza utamaduni wetu.....tuko pamoja kwa raha mstarehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…