Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

ni kweli kabisa mkuu na hasa kwa kuwa wanaume linapokuja swla la hawa viumbe wa kike wana hururma kupindukia,na ukichangaya na kuongozwa kwa mihemko ya mwili ya walio wengi afu ndo ukute hana msimamo,akitongozwa anakubali kwa vigezo hivyo vitatu,akishampitia basi na huruma anaiweka pembeni mwanamke unaonekana choo tena

akhaaaa Mr Rocky mi bado nipo pale pale raha jamani kusarandiwa na mwanume unayempenda,umsumbue sumbue umkatishekstishe vikona apate hata cha kukumbushia siku mkiwekana ndani anakwambia afu wewe ulinisumbuaga sana ujue!!!!haaaahaaaaaahaaaaa raha iliyoje narudia tena mtoto wa kike haiba inamtaka atongozwe.
Blue G kweli kabisa nakubaliana na wewe. Umsumbukie mtu kidogo akuzingue kidogo na hata siku akikuambia anakupenda ukienda nae kwako akusumbue kidogo kumpata sio kirahisi rahisi tuu
Sio yule anajileta kwako mzima mzima na kila kigezo kinaonyesha kuwa anakutaka na anajilengesha kwako hapo kwa kweli unaanza kuwaza mengine na siku ya kumchoka unampa kavu kabisa sikukupenda ila ulijipendekeza mwenyewe na wala sikuwa nakupenda zaidi ya kuact kuwa nakupenda ili kukuridhisha
 
Last edited by a moderator:
ulijisikiaje alipokutongoza yeye kwa mara ya kwanza na kwa nini ulimtolea nje?ungependa mwanao wa kike amtongoze mwanume kwanza?na meko alikotongozaje?moja kwa moja litumia watu au alitumia vitendo tu?
mm mama kayai alinitongoza........nikamkatalia baadaye nikamtafuta nikamtongoza kiume sasa ili kuendeleza utamaduni wetu.....tuko pamoja kwa raha mstarehe
 
ndivyo ilivyo mkuu HARUFU sasa hapo em niambie ndo umejitoa tu kwa huruma na si mapenzi,kwanza kwenye uchumba tu unajisikiaje kuwa na mtu usiye na lepe la upendo kumweleka?ndo unaamua kufunga naye ndoa mwisho wa siku na unajua mapungufu tuliyonayo wanadamu yanavyoleta mfarakano kwenye ndoa,unafikir itakuwa rahisi kuhimili mapungufu ya mtu usiyempenda hata kidogo kwa miaka yote?
Mkuu, kipengele namba tatu hujakosea hata kidogo, kusema ukweli jinsia ya kike akikuzimika kwa kweli hata kama ulikuwa huna hisia nae itabidi ujilazimishe ili kumridhisha yeye na kumkatalia(kumtolea nje) inakuwa ngumu unaona kama utakuwa unamwangusha.

Hapa sijazungumzia wale madada poa, sungusungu au maharage ya mbeya, nazungumzia wale wa kawaida(wanaojiheshimu) ambao wewe kichwani mwako hayupo na wala hufikirii/humfikirii chochote kuhusiana na kupeana raha za dunia
 
Last edited by a moderator:
MWANAMKE HAIBA na USO WA SONI

ina madhara makubwa sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume...na hayo mahusiAno hayatadumu na wala hayatakuwa na amani

^^
Ha ha zamani nilikuwa naamini hivi, ila baadae nilisahihisha uelewa wangu
^^
 
Kwenye red hapo mkuu Himidini nini kilikufanya ushahihishe maoni yako if you dont mind please?na nini maoni yako kuhus suala hili?
^^
Ha ha zamani nilikuwa naamini hivi, ila baadae nilisahihisha uelewa wangu
^^
 
Last edited by a moderator:
Kwenye red hapo mkuu Himidini nini kilikufanya ushahihishe maoni yako if you dont mind please?na nini maoni yako kuhus suala hili?

^^
Nilikutana na familia ambayo imedumu miaka 16 katika ndoa, simulizi ya yule mama ilikuwa yeye ndiye aliyemuanza mwanaume, alisema alishindwa kujizuia, alimpenda sana yule mwanaume, akamweleza. Nilipodadisi upande wa mwanaume alisema 'ningemkataa ningekuwa nimefanya kosa la maisha, sasa nina furaha kwa sababu mimi ndiye nampenda zaidi'
Ndio maana nilisahihisha fikra zangu
^^
 
Last edited by a moderator:
Mh jamani I CONCUR kwa wote wanaosema mwanamke akikutamkia anakupenda ni kicheche,sio kweli kabisa na sio sawa ukisema hivo,mwanamke mpaka akikufata na kukutamkia anakupenda maana yake amechukua muda sana kutafakari ,anachukua risk na amekuwa na ujasiri wa hali ya juu,kwasababu kama mlivyosema mwanamke anatakiwa awe na aibu na haimaanishi akikufata hana aibu.Isitoshe kuna njia nyingi ambazo mwanamke anaweza kutumia kujilengesha kwa mwanaume ukiachilia mbali kukufata usoni na kukuimbisha.Tuseme tumezoea katika desturi zetu za kitanzania ni aghlabu kwa mwanamke kumtongoza mwanaume na ndio maana tuna fikra hasi.
Hio point ya pili rafiki inaweza kurefer hata kwa wanaume asiweze kuwa na usemi juu ya mwanamke kwasababu amempenda yeye kwahio hio ni two way traffic.
Point ya tatu naikubali kwa kiasi fulani na pia naiunga na point ya pili,inaweza kutokea kwa jinsia zote!
 
Jamani Mie hii "Kwa binafsi yangu nafikiri raha na haiba ya mtoto wa kike kutongozwa banah,mwanaume akuhangaikie,akubembeleze,akup igie misele mpaka akupate ndo unanihusu."
 
Nisumbue sumbue usinikubali haraka mimi-just singing fid q song usinikubali haraka.



Back to the ni kweli rah mtoto wa kiume umtongoze mwanamke sidhani kama kuna ulazima wa mtoto wa kike kufikia kumtongoza mtoto wa kiume,ila ikibidi kwangu sio mbaya mitego,ukaribu na kumjaali, kwa mwwanaume mwenye uelewa lazim ajue kwamba i have to play my role sasa.ya kutongoza sio mpk kusubiria kutafumiwa unless otherwise labda huyo mwanamke awe anamwiba mwanaume wa mtu.
 
dahhh simulizi hilo la maisha ni zuri kama nini lakini kiukweli kabisa mkuu Himidini na ukweli utabaki kuwa ukweli,kama familia za namna hiyo zipo basi ni moja kati ya mia moja hasa kwa tamaduni zetu waafrika,angalau kwa wenzetu wa huko magharibi wana maoni chnanya kuhusu hili,kwa sisi waafrika inapendeza hata zaidi me akimuanza ke.
^^
Nilikutana na familia ambayo imedumu miaka 16 katika ndoa, simulizi ya yule mama ilikuwa yeye ndiye aliyemuanza mwanaume, alisema alishindwa kujizuia, alimpenda sana yule mwanaume, akamweleza. Nilipodadisi upande wa mwanaume alisema 'ningemkataa ningekuwa nimefanya kosa la maisha, sasa nina furaha kwa sababu mimi ndiye nampenda zaidi'
Ndio maana nilisahihisha fikra zangu
^^
 
Last edited by a moderator:
gorgeousmimi,

asante shosti kwa mchango wako muhimu sana,

jambo moja tu gorgeousmimi sitaki na wala sina maoni ya kwamba wanawake wanaowatongoza wanaume ni vicheche,hapana hasa kwa kuwa najua mapenzi ni kikohozi na kulificha huwezi na pia maumivu yatokanayo na kumpenda mtu ambaye hana hata habari na wewe au na yeye anakuogopa anajiuliza atakuanzaje na hivyo anaamua kuuchuna kimya nayajua yakoje,ni bora upigwe na fimbo utakandwa na maji ya moto kuliko maumivu ya mapenzi yasikie tu shosti wangu.

point zangu tatu pale juu zimetokana na kile ambacho kwa kweli nimeona watu wengi wamekuwa wakikitolea maoni juu ya suala kama hili na hivyo kufikia mkataa kuwa mwanamke anapoamua kumtongoza mwanume matokeo mara nyingi huwa ni yale matatu tajwa pale juu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Annie Josh ila nina swali moja kwako la kizushi,

hivi itakuwaje kama unampenda mwanaume ambaye unaona kabisana kuwa hata muda na wewe hana,pengine hajavutiwa na wewe au anakuogopa labda kutokana msimamo wako anajua utamchamba ila na yeye anaumia moyoni mwake lakini hataki kuchukua hatua na wala japo kukuonyesha kwa ivtendo kuwa anateseka juu yako,na akiwa na wewe au akikuona anajifanya hana habari na wewe kabisa huku na wewe unaugulia moyoni?na unahisi bila huyo maisha hayajakunyokea kwenye tasnia ya mapenzi?unafanyeje chini yz hali kama hizo?
Jamani Mie hii "Kwa binafsi yangu nafikiri raha na haiba ya mtoto wa kike kutongozwa banah,mwanaume akuhangaikie,akubembeleze,akup igie misele mpaka akupate ndo unanihusu."
 
Last edited by a moderator:
yeah uko sawa mkuu at least mtoto wa kike atumie mbinu ya kujichetua kwa mitego ya hapa na pale na hasa kwa me ambaye anahisi anampenda na yeye anaona kwa mbali kidume kinavutika fulani,ila isipitilize maanake kuna michetuo mingine dahhhh.
Nisumbue sumbue usinikubali haraka mimi-just singing fid q song usinikubali haraka.



Back to the ni kweli rah mtoto wa kiume umtongoze mwanamke sidhani kama kuna ulazima wa mtoto wa kike kufikia kumtongoza mtoto wa kiume,ila ikibidi kwangu sio mbaya mitego,ukaribu na kumjaali, kwa mwwanaume mwenye uelewa lazim ajue kwamba i have to play my role sasa.ya kutongoza sio mpk kusubiria kutafumiwa unless otherwise labda huyo mwanamke awe anamwiba mwanaume wa mtu.
 
ndivyo ilivyo mkuu HARUFU sasa hapo em niambie ndo umejitoa tu kwa huruma na si mapenzi,kwanza kwenye uchumba tu unajisikiaje kuwa na mtu usiye na lepe la upendo kumweleka?ndo unaamua kufunga naye ndoa mwisho wa siku na unajua mapungufu tuliyonayo wanadamu yanavyoleta mfarakano kwenye ndoa,unafikir itakuwa rahisi kuhimili mapungufu ya mtu usiyempenda hata kidogo kwa miaka yote?
Ndoa haitodumu hapo mkuu, sababu mapenzi ya kweli yapo upande mmoja, labda itokee tu au niseme iwe bahati na wewe mume mazoea yakuchukue kisha uingiwe na mapenzi. Hapo naweza sema ni bahati nasibu
 
Eh haya,natoka saluni hivi,nioge ,nikae ndaniii mtoto wa watu nisubiri mtongozo lol...
 
sio rahisi kwa kweli.
Ndoa haitodumu hapo mkuu, sababu mapenzi ya kweli yapo upande mmoja, labda itokee tu au niseme iwe bahati na wewe mume mazoea yakuchukue kisha uingiwe na mapenzi. Hapo naweza sema ni bahati nasibu
 
Ukweli mie mwanamke akiwa akinitongoza sidhani kama nitaweza kataa katu...mie nadhani kuna mbinu nyingi zakuwamfanya mfanya me akufikirie,akuwaze inshort kumteka hisia zake na mwishoe akakutongoza yeye mwenyewe na ukadengua kidogo and finally wakubali...Ila kujitongozesha sidhani kama ni nzuri sana binafsi yangu
 
mimi natongoza tu potelea mbali
Sio mbaya MankaM si ndo maana simba akizidiwa hula hata manyasi,na wanadamu ndo hivyo hivyo ukizidiwa unatumia plan b.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom