Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mie mwanamke akiwa akinitongoza sidhani kama nitaweza kataa katu...mie nadhani kuna mbinu nyingi zakuwamfanya mfanya me akufikirie,akuwaze inshort kumteka hisia zake na mwishoe akakutongoza yeye mwenyewe na ukadengua kidogo and finally wakubali...Ila kujitongozesha sidhani kama ni nzuri sana binafsi yangu
mimi natongoza tu potelea mbali
ulijisikiaje alipokutongoza yeye kwa mara ya kwanza na kwa nini ulimtolea nje?ungependa mwanao wa kike amtongoze mwanume kwanza?na meko alikotongozaje?moja kwa moja litumia watu au alitumia vitendo tu?
you mean unapenda mwanamke akutongoze au?
Eh haya,natoka saluni hivi,nioge ,nikae ndaniii mtoto wa watu nisubiri mtongozo lol...
ila usimzungushe sana
aku mi staki kuwa easy come easy go..akijitahd basi mwaka na nusu...lol....
first nlikuwa sijui ila alikuja niambia kwamba hajiwezi juu yangu,nkamwambia ntakusaidia nikjua ni one for the road ile kugusa tu ilikuwa balaa niligandwa balaa ikabidi nivunje uhusiano,hisia zilukuwa kilichonikoleza kwake alinipikia siku moja nkawa nakumbuka pishi lake,sasa tunadume imebaki story
Nooooo!Aonyeshe dalili tu then kama kaukamata moyo wangu mie itakuwa rahisi kumuingia na kukomaa mpaka nimpate!Lakini mwanamke anaekupenda halafu akajifanya hakuoni ni ngumu ku develop chemistry!
Mwanamke raha kutongozwa!
Wapo ndugu,wakati wewe unakomba sufuria wao moto mdundo.Kumbe siku hizi kuna watu bado wanatongozana?
performanceNa wale wanaotongoza vijana wadogo na kuwahonga wanaangalia nini?
Ukifanya hayo yote na baadaye ukagundua hisia za mhusika hazitekeki unafanyaje? unamalizia na hilo coz atakuwa ameishaelewa unakoelekea.Ukweli mie mwanamke akiwa akinitongoza sidhani kama nitaweza kataa katu...mie nadhani kuna mbinu nyingi zakuwamfanya mfanya me akufikirie,akuwaze inshort kumteka hisia zake na mwishoe akakutongoza yeye mwenyewe na ukadengua kidogo and finally wakubali...Ila kujitongozesha sidhani kama ni nzuri sana binafsi yangu