Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

hapo weknye red idriss ni kwani nini hudhani kama unaweza kukataa mwanamke akikutongoza huruma au nini?
Ukweli mie mwanamke akiwa akinitongoza sidhani kama nitaweza kataa katu...mie nadhani kuna mbinu nyingi zakuwamfanya mfanya me akufikirie,akuwaze inshort kumteka hisia zake na mwishoe akakutongoza yeye mwenyewe na ukadengua kidogo and finally wakubali...Ila kujitongozesha sidhani kama ni nzuri sana binafsi yangu
 
Last edited by a moderator:
ulijisikiaje alipokutongoza yeye kwa mara ya kwanza na kwa nini ulimtolea nje?ungependa mwanao wa kike amtongoze mwanume kwanza?na meko alikotongozaje?moja kwa moja litumia watu au alitumia vitendo tu?

first nlikuwa sijui ila alikuja niambia kwamba hajiwezi juu yangu,nkamwambia ntakusaidia nikjua ni one for the road ile kugusa tu ilikuwa balaa niligandwa balaa ikabidi nivunje uhusiano,hisia zilukuwa kilichonikoleza kwake alinipikia siku moja nkawa nakumbuka pishi lake,sasa tunadume imebaki story
 
you mean unapenda mwanamke akutongoze au?

Nooooo!Aonyeshe dalili tu then kama kaukamata moyo wangu mie itakuwa rahisi kumuingia na kukomaa mpaka nimpate!Lakini mwanamke anaekupenda halafu akajifanya hakuoni ni ngumu ku develop chemistry!
 
Kuanzia Leo naaanza kutongozaa dadekii!hahaha nabadili ladha miee
 
daaaahhh stori nzuri sana hiyo,sasa siku aliyokupikia ilikuwa ni siku uhusiano ulipokuwa over au ndani ya mahusiano?
first nlikuwa sijui ila alikuja niambia kwamba hajiwezi juu yangu,nkamwambia ntakusaidia nikjua ni one for the road ile kugusa tu ilikuwa balaa niligandwa balaa ikabidi nivunje uhusiano,hisia zilukuwa kilichonikoleza kwake alinipikia siku moja nkawa nakumbuka pishi lake,sasa tunadume imebaki story
 
nimekupata MTENDAHAKI but what if ni mtu ambaye ana aibu sana kiasi hawezi hata kupita mbele yako,si unjaua mtu ukiwa na crush naye wakati mwingine unaweza hata kushindwa kutembea mbele zake? hutamuaproach hata ikiwa unampenda kwa kuwa tu hajakuonyesha dalili?na itakuwaje ikiwa mdada anayeku feel sana na ana aibu sana tu,ila anaamua kuuvaa uso wa mbuzi siku moja ili akueleze yaliyo moyoni baada ya kuona huna hata dalili ya kumtaka?utafanyaje?utachukua hatua gani?unaweza kumkatalia?
Nooooo!Aonyeshe dalili tu then kama kaukamata moyo wangu mie itakuwa rahisi kumuingia na kukomaa mpaka nimpate!Lakini mwanamke anaekupenda halafu akajifanya hakuoni ni ngumu ku develop chemistry!
 
Last edited by a moderator:
haya mama kila lakheri ila tunaomba uje utupe mrejesho wa mtongozo wako utakapofikia.
Kuanzia Leo naaanza kutongozaa dadekii!hahaha nabadili ladha miee
 
kweli Navy lakini vipi ikiwa una mkaka unayempenda sana na unahisi kabisa kuwa bila yeye maisha yako kwenye tasnia ya mapenzi hayajakunyookea,halafu na yeye wala hana hata muda na wewe hata ukiwa mbele yake ni kama hakuoni vile au hautambui kabisa uwepo wako?utafanya nini?
Mwanamke raha kutongozwa!
 
Last edited by a moderator:
Blue G,
Kumkatalia....!!!I dont think ni neno sahihi labda uulize nitamchukuliaje?Imeshanitokea mara 3, mara ya kwanza High School, Ya pili Chuo na kazini! High school alikuwa ni best yangu sana, alikuwa anapenda kuja uwanjani kuniangalia ninavyocheza na mda mwingine kutaka nimfundishe (volleyball), but walikuwa wengi wanataka niwafundishe hivyo sikuwahi kudhani ananifeel, until siku moja mbele ya rafiki zake akanichana tena nikiwa naongea na lady captain wa volleball akaja na kuanza kama anamsimulia mwenzake "...basi huyu kaka nampenda, napenda anavyocheza volleball, kila siku naenda uwanjani kumuangalia, na marafiki zangu wote nimewaaambia nataka awe bf wangu lakini yeye hata sijui kama ananifikiria...."!

Big suprize I didnt know what to do, beautiful girl of course alikuwa na viskendo uchwara pale school!Unataka kujua nili react vipi! Nilimwambia nampenda pia lady captain akaanza kunitania nikakosa pozi, nikayeyusha na kuondoka!Mpaka namaliza shule sikumjibu zaidi ya kusmile nikimuona!

"Do you think I did hurt her?!! wow sorry!!!Huyu wa chuo alikuwa tofauti kidogo yeye hakumwaga mchele hadharani, alitafuta namba yangu ya simu akaniita chumbani kwake na kunieleza ukweli wake!I respected her feelings, but nilikuwa na GF tayari!Akaniambia anafahamu na hajali! To be honest with you hapa nilipata mteremko, I ended up cheating with her!It was always cool!

Mpaka leo tunaheshimiana sana!Wa kazini was a crush.. she wasnt from Tanzania, na mie sikuwa bongo!Hii nilianza kuisimulia humu JF kama true stori watu hawakugonga like wakaleta majungu nikawapotezea!But we ended up on bed honestly!
 
Inategemea lengo la mtongozaji,kama anataka pesa,akikutokea akakupata napesa ukampa si inakuwa imetoka.
tuwe wa kweli si bora huyo anayekutokea live kuliko anayekuendea kwa mganga ili ujilete mwenyewe?
 
Ukweli mie mwanamke akiwa akinitongoza sidhani kama nitaweza kataa katu...mie nadhani kuna mbinu nyingi zakuwamfanya mfanya me akufikirie,akuwaze inshort kumteka hisia zake na mwishoe akakutongoza yeye mwenyewe na ukadengua kidogo and finally wakubali...Ila kujitongozesha sidhani kama ni nzuri sana binafsi yangu
Ukifanya hayo yote na baadaye ukagundua hisia za mhusika hazitekeki unafanyaje? unamalizia na hilo coz atakuwa ameishaelewa unakoelekea.
 
Back
Top Bottom