Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Nilipiga passport[emoji23] badala ya kuoga.
 
Huyo itakua aliongeza na kilainishi cha manoti.
Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]

Yaan alikuwa anadamshi kinoma!
 
Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]

Yaan alikuwa anadamshi kinoma!
Bado unarudi kule kule kwamba noti ilitumika.
 
Duuuh
 
Ila jaman m mbona hua sipat shida kwa hawa viumbe wa kike m nawatongoza vzr tu na nao wataka yan nime wa admire nawapata na nawa kwichkwich vzr kabisa
 
Samahan kwa kuingilia mada bosslady...
Ila ningependa kuuliza kuwa hizo zawadi za 'hapa na pale' na outings na credits za kukupigia simu,vyote hivyo alikuwa anavifanya kwa "msaada wa watu wa marekani?"
Ni pesa tu ndio imetumika hapo.
Aseeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....basi nimekupata J
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…