Very true...mi ukianza tu kujisifia tayari nishakushusha!Oooooooowwww!!! I likeeeee
Mbinu za mashambulizi.
Kwa kuongeza usimtongoze mwanamke huku unajisifu unajiona wewe ni wewe utafeli[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....huyo demu muhuniZamani, wakati wa ujana wangu, niliwahi mtongoza manzi flani akazingua, nikala corner, baadae akanifuata na kuniuliza, " Mbona wewe unakata tamaa mapema."
Nikikumbuka huwa nacheka tu.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126][emoji23][emoji23]swaga za kijinga.
Kuna mmoja kipindi nikiwa kijana .... Linatongoza linang'ata lips halafu sijui wanaume wa dar wanastail yao ya kuongea huku wameweka mdomo upande upande.
Niliishia kumkodolea macho huku nimekunja sura kama vile naona kinyaa.
Vipi na wewe ni wa dar??
Nilipiga passport[emoji23] badala ya kuoga.Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Hii namba D ya semi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]0715796010[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....
Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]Huyo itakua aliongeza na kilainishi cha manoti.
Haaaahaaa....yangu hiyo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii namba D ya semi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado unarudi kule kule kwamba noti ilitumika.Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]
Yaan alikuwa anadamshi kinoma!
Duuuh...mbona noti mkuu?Bado unarudi kule kule kwamba noti ilitumika.
Hatujafika kwenye hii proximity mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Haaaahaaa....yangu hiyo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulikosea sana mwenyekiti wa CHAPUTA. Umetusaliti wanachamaKuna Mwanamke nilimtongoza kwa alivyonijibu ilinibidi nipumzike kutongoza mwezi 1
Samahan kwa kuingilia mada bosslady...Duuuh...mbona noti mkuu?
DuuuhTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Kuna mwana kapita na kitenge kina mapicha picha ya mushrooms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani sasa anapoteza muda kutongoza hizi sikuMpaka hapo ushawaelewa wanaume wa mkoani.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Nyie endeleeni kugugo mitongozo mikoani wapo real
Mnafeli
Aseeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....basi nimekupata JSamahan kwa kuingilia mada bosslady...
Ila ningependa kuuliza kuwa hizo zawadi za 'hapa na pale' na outings na credits za kukupigia simu,vyote hivyo alikuwa anavifanya kwa "msaada wa watu wa marekani?"
Ni pesa tu ndio imetumika hapo.
Oooh ok mkuu....ngoja nichekiMkuu nimeku pm
πππKuna Mwanamke nilimtongoza kwa alivyonijibu ilinibidi nipumzike kutongoza mwezi 1