Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

[emoji23][emoji23]swaga za kijinga.
Kuna mmoja kipindi nikiwa kijana .... Linatongoza linang'ata lips halafu sijui wanaume wa dar wanastail yao ya kuongea huku wameweka mdomo upande upande.
Niliishia kumkodolea macho huku nimekunja sura kama vile naona kinyaa.
Vipi na wewe ni wa dar??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Nilipiga passport[emoji23] badala ya kuoga.
 
Huyo itakua aliongeza na kilainishi cha manoti.
Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]

Yaan alikuwa anadamshi kinoma!
 
Yaaaan hata sio manoti Ila anawajulia wanawake.....hujakaa sawa mara zawadi hii mara ile, mara adventure za outing, akipiga simu sasa anavyoongea utafikiri duniani niko peke yangu kwake[emoji23] [emoji23]

Yaan alikuwa anadamshi kinoma!
Bado unarudi kule kule kwamba noti ilitumika.
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Duuuh
 
Ila jaman m mbona hua sipat shida kwa hawa viumbe wa kike m nawatongoza vzr tu na nao wataka yan nime wa admire nawapata na nawa kwichkwich vzr kabisa
 
Samahan kwa kuingilia mada bosslady...
Ila ningependa kuuliza kuwa hizo zawadi za 'hapa na pale' na outings na credits za kukupigia simu,vyote hivyo alikuwa anavifanya kwa "msaada wa watu wa marekani?"
Ni pesa tu ndio imetumika hapo.
Aseeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....basi nimekupata J
 
Back
Top Bottom