Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Hayo uliyoanza nayo naweza kukibali ila hilo ulilomaliza nalo skubaki miaka 8000
 
Mimi ndo niko hivo njoo pm ujionee kwa macho yako.
 
Duh.. Huyo jamaa pole yake [emoji85][emoji85]
 
Tupia hiyo mistar kwa faida ya wanajamvi
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimepakumbuka Mto wa Mbu... Kule ni mkoani ivi ee[emoji23]
 
Sio kweli inategemea na mwanaume anajitunza vipi, na vyakula anavyokula. Huwezi amini babu yangu ana 75 years lakini bado anakula vibinti vibichi, while bibi yeye alishachoka
Babu yako kwere mkuu....at 75 bado anakula vijukuu vyake[emoji15] [emoji23] [emoji15] ....mwambie umri huo kupata LUKU ni uzwazwa wa kiwango cha makinikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…