Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Acha matusi nani amekuambia alizaliwa amana au mhimbiliKaeni vizuri na wanaume wa mikoani watawapa mbinu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusi nani amekuambia alizaliwa amana au mhimbiliKaeni vizuri na wanaume wa mikoani watawapa mbinu.
Hayo uliyoanza nayo naweza kukibali ila hilo ulilomaliza nalo skubaki miaka 8000Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna watu mnatongoza kishamba sana hadi unatamani kumjibu bro hebu katulie nitakuja kukutongoza mie
Hahahahah ncheke mie [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ugumu huu wa maisha,watu mnatongoza mnatafuta nini.
Mimi ndo niko hivo njoo pm ujionee kwa macho yako.Absolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!
Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....huyo demu asiyetaka kurudi kwao ni wa aina gani???
Hayo maharage ya mbeya
Duh.. Huyo jamaa pole yake [emoji85][emoji85]Haaahaaa....wanaume wengi ukimkataa sijui why ndo anageuka mwiba!
Kuna jamaa ofisini huwa ananifurahisha sana ( japo sionyeshi)... Toka nimemjibu shombo 2 years now anakuja na kila aina ya mbinu, zingine nazielewa zingine chenga! ....in a nutshell jamaa hakatagi tamaa, huwa nacheka kinoma coz hata dunia tubaki wawili tu siwezi kumkubali coz simpendi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....acha ujinga ujue...kuna mjanja kashaniwahi
Tupia hiyo mistar kwa faida ya wanajamviTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
[emoji85][emoji85]Anafaidi kinoma na mimi namfaidi vilivyo[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimepakumbuka Mto wa Mbu... Kule ni mkoani ivi ee[emoji23]Hahaha mgeni kule utapata tabu sana kuwazoea.
Ila kwa sisi tuliokulia kule tushazoea hata matusi hatuyasikii tunaona ni maneno ya kawaida.
Sema nini inategemea sehemu na sehemu kuna sehemu za kistarabu ambazo watu wake wastaarabu.
Sikukuu nikupeleke ukaoneee
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Walaaaa mwaka juzi tu mkuu...Mmmmm wewe ulikuja 10 years ago kwa kweli.
Kuna sehem nilipotea njia nikakufananisha.Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Babu yako kwere mkuu....at 75 bado anakula vijukuu vyake[emoji15] [emoji23] [emoji15] ....mwambie umri huo kupata LUKU ni uzwazwa wa kiwango cha makinikia!Sio kweli inategemea na mwanaume anajitunza vipi, na vyakula anavyokula. Huwezi amini babu yangu ana 75 years lakini bado anakula vibinti vibichi, while bibi yeye alishachoka
Teh, umeniona wapi mkuu?[emoji15]Kuna sehem nilipotea njia nikakufananisha.
Humu tu my dear.Teh, umeniona wapi mkuu?[emoji15]
Oow! ....haahaa Jana ilikuwa mwake[emoji122] [emoji122]Humu tu my dear.
Nahisi nizile story za jna nikakumiss.[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kabisa unajua kuna vile unaweza ongea na mtu baadae ukahisi furaha tu hhhh.Oow! ....haahaa Jana ilikuwa mwake[emoji122] [emoji122]
[emoji28] [emoji28] kabisa mkuu, pamoja[emoji122] [emoji122]Kabisa unajua kuna vile unaweza ongea na mtu baadae ukahisi furaha tu hhhh.