Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Nitakujibu kwenye simu,mwanaume unakomaa mpaka kijasho kinamiminika mtoto anabadili msimamo anakwambia nitakujibu tukiachana hapa,lkn bado unakaza mara rwaaah zip ya mkoba inafunguliwa inaandikwa sms NIMEKUBALI MY BEARSOLDIER.
Alafu unaona inatumwa kwako hahah unaanza kutabasam kama sukari imeshuka bei.mara mtoto sasa baadae babe.....
 
Kutongoza mwanamke live live ni kazi ndo maana hata matajiri na wasomi wanachukua wabovu sio wale wakali tena wanaoa kabisa na kusaidiana maisha.

Kutongoza kuna ugumu lakini sasa hivi mitandao ya jamii ilichofanya ni kuutangaza umalaya; wanawake wanaojiuza wapo kila sehemu Instagram, Badoo n.k na hali inazidi kuwa mbaya.

Unaweza ukawa na hela na ukamuona dada mzuri unashindwa kuongea naye au ukikutana na mwanamke mkali anakupiga hela na kum-do usim-do.
 
Inategemea ntu na ntu. Kutongoza ni kipaji.


Kutongoza demu live live Ni kazi ndo maana hata matajiri na wasomi wanachukua mademu wabovu sio wale wakali.tena wanaoa kabisa na kusaidiana maisha.kutongoza Kuna ugumu lakini Sasa hivi mitandao ya jamii ulichofanya Ni kuutangaza umalaya mademu wanaojiuza wapo kila sehemu Instagram,Badoo n.k na Ni Hali inazidi Kuwa mbaya.unaweza UKAWA na hela na ukamuona demu mzuri unashindwa kuongea naye.na ukikutana na demu mkali anakupiga hela na kumtom humtom.
 
Mimi mbona najilia tu watoto wakali wa Kirangi, Wamburu na Wanyaturu huku Arusha tena jana tu nimepanda daladala kutoka Kilombero kwenda Kwamromboo nikakaa na mtoto mmoja wa kirangi

Nimemsaundisha akaingia mgenge hatukufika Kwamromboo tukashuka mbele kidogo ya Mbauda (Bandambili) tukaingia zetu Sombetini demu akapigwa!!!

Kwama unashindwa kutongoza madem wazuri njoo huku maana kuna watoto wakaliii harafu,, hawachelewi kukupa,, yaani sio wachoyo

Sijui ndio hawataki kukaa na UKIMWI peke yao wanataka tuwe nao wote!!!!!!!!
 
nyie ndo mnatudhalilisha wanaume, yani ww unahela unashindwa kumpata mwanamke kweli?? watu mnamidomo mizito hadi mnakera
 
Mimi hata mwanamke nikimuomba namba, kama nikitaka kumtongoza ntamtafuta kupitia iyo namba(SMS or Call) tukutane ana kwa ana nitongoze.

Kuchat au kumpigia simu labda nabembeleza anikubalie (hapo nimeshatongoza ana kwa ana)

Kutongoza kwa kuchat au call sawa naweza lakini sioni kama ni njia nzuri maana anaweza kukata sim au akaacha ku reply text.
Au hata akionyesha ushirikiano kujibu halafu akanipiga chini SITAKUBALIANA NA MATOKEO.

Kutongoza ana kwa ana ni raha sana maana unabadilika nae kulingana na unavyomuna, akibadilika mood na mi na chenji gia.

Message isn't conveyed 100% by words only eti unatongoza huku unachat sms au unapiga simu(words&tone).

Kuna vitu vinamiss hapo, body language and facial expression
Hapa ndo mchuchu anakuelewa bila hata kuongea sana.

Ukiwa unatongoza ana kwa ana hakuna kinachomiss ni wewe tu ushindwe mwenyewe kutema stanza maama ujumbe utakaoufikisha ndo huohuo ulioukisudia.
 
Back
Top Bottom