Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

mimi uwa najikuta nshamtongoza bila kujua na kashaingia geto bila kujua..
Na tushakuwa wapenz bila kujua...
Siku hizi raha sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mother Confessor Njoo kipande hii.
Kaibuka tena na uzi huu eti "Ni Hali inazidi Kuwa mbaya.unaweza UKAWA na hela na ukamuona demu mzuri unashindwa kuongea naye.na ukikutana na demu mkali anakupiga hela na kumtom humtom"
 
Mother Confessor Njoo kipande hii.
Kaibuka tena na uzi huu eti "Ni Hali inazidi Kuwa mbaya.unaweza UKAWA na hela na ukamuona demu mzuri unashindwa kuongea naye.na ukikutana na demu mkali anakupiga hela na kumtom humtom"
Ndege hana hela ya eid huyuu...hana lolote😂😂😂ametushikilia bango leo kama nn..
 
Ya moja kwa moja ndio nzuri kwangu, maana naweza hata kujiliza ilimradi aone huruma aachie mbunye
 
Wild Thoughts,

Uko vizuri mkuu. Mimi kuna mmoja nilikaa naye siti ya karibu kwenye basi nikamuomba namba akanipa. Nilichofanya tuliposhuka tu baada ya kama saa moja nikamtumia msg ''Sophy kama utakuwa na muda naomba ijumaa jioni tukatongozane pale Hawaii Baruti'' , akapiga simu anaangua kicheko balaa😂😂. Ijumaa kweli tukameet Hawaii , mara savana, mara kuku, mara K vant , mara haooo Binam Lodge ndiiiiiiiii🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] definition ya demu mbaya please!
Bro usinitafutie ubaya..Hakuna common definition..Ubaya unachangiwa na vitu vingi..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kutongoza ni sanaa...
Kutongoza ni kujilipua na kujitoa ufahamu.Manake unakua hujui muhusika atakuwa na mwitikio upi......
Kutongoza demu ambae yuko calm, sio desperate ana maisha yake kimtindo ambae huwezi kumdanganya kirahisi kwa pesa ndo inaweza kuwa ngumu kidogo manake mpaka awe na sababu nyingine ya kukupenda ...
Pia navyoona kutongoza msichana kwa ajili ya nyege zimekujaa na yeye unataka umuamshe nyege ili mmalizane ni tofauti na kumfuata msichana ambae umeona unaweza kuwa mtu wako....
 
Wanajamviii Ee mu hali gani


Poleni wadada wale ambao 10% na 25% inawagusa na waume ambao ndo wahudumiaji wakubwa.,


Linapokuja swala la kuchagua mwanamke kwa ajili ya kuoa au ngono tu wengi wetu tunaongozwa na tamaa tu, binafsi ninatamaa haswa pale tu ninapomwoma mwanamke pande zote mbili yaani mbele na mgongoni.,


Awe single mom awe kicheche au katulia ivo nitavitilia maanani baada ya kumpiga ukuni,
Anaweza akawa na sura nzuri ila kama nyuma ni unshaped basi automatic nakua sina tamaa nae,


Anaweza akawa na sura mbovu ila kama nyuma ni shaped automatic nakua na hisia nae na nitajiona loser endapo nitamkosa,


Ila atajizolea bonasi zaidi endapo kote atakua fit amaekizi criteria zote uyo akiwa na ukimwi ni rahisi sana kuniambukiza ila kwakua zana zimapunguzwa kodi aaah nitatumia zile O.g


Mpaka nafika hatua ya kumwita mwanamke basi atambue nishamuona upande wake wa mbele na nyuma na mi si mjinga mpka namwita ni kwamba amenikuna tamaa zangu



Kama sitooa nimejiwekea malengo ya kumega wanawake 250 bila kupata HIV ,sio ufahari ila tumeumbiwa sisi hawa viumbe wawe faraja yetu na kutuondoa uzembe (misperm ikikaa sana inasababisha uzembe).
 
'Nimekula nimeshiba sasa naenda ukutani kwa jirani yangu kuchungulia tamthiliya ya Sultan'
Alisikika mwanaume wa dar akijisemea mwenyewe.
 
Back
Top Bottom