witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Haaahaaa...anazingua huyoo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaa...anazingua huyoo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mbinu ilifeli now tunapena madili ya hela tuuMalizia story [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nilisoma sikuelewa kitu. Nikajifanya napita kimya kimya. Content yenyewe haielewekiHaaahaaa...anazingua huyoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wew.Xaxa mkuu unamtongoza na hizo xaxa atakukubali kweli?[emoji15] [emoji23]
Hebu jifunze kuandika vixuri ndo ukamtongoze manxi wako....xawa eeeh?
Ivi ndio ukikaa karibu na [emoji257] unanukia [emoji257]... Ilipotokea? [emoji23][emoji23]Ukiliwa na mwanaume wa hivyo ni baraka.
Unatamani hata usioge.
Vile tuu yupo romantic una wish uendelee kumnukia nukia.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Woouh my self driving Tesla Model S[emoji122]Amesema straight to THE point.
Siyo .... To point
Ahaaaahaaahaaa...we nae mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahsante,congrats kwako pia.
Ningesema muonee huruma jamaa ila swezi kusema hvyo kwasababu ila fisi huutamani mfupa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Ipi hiyo dear?Nilisoma sikuelewa kitu. Nikajifanya napita kimya kimya. Content yenyewe haieleweki
Bwaaaaajaaaah ....umenifata hadi huku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi wew.
Xaxa mkuu unamtongoza na hizo xaxa atakukubali kweli?[emoji15] [emoji23]
Hebu jifunze kuandika vixuri ndo ukamtongoze manxi wako....xawa eeeh?
Hongera. Ila Ingekuwa ni mimi siku 1 ungeamka una upara kidevuniOoh kumbe!ila wifi yako anapenda ndevu balaa ,ndo aliyenishauri nifuge
Hhhhaa nimeona nimekua nafta na usiulize kwanin tafadhali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bwaaaaajaaaah ....umenifata hadi huku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wit, hizo mbinu vipi tena!!?Nifundishe hizo mbinu mkuu
Mbinu moja kubwa hii hapa ngoja nimpe,atafute line ya voda or tigo,ahakikishe line yake ameisajili ili awe na uwezo wa kufanya miamala kwa njia ya tigo pesa or m pesa...aweke pesa za kutosha kwenye hizo account zake...akishafanya hivyo aje hapa nimfundishe nini cha kufanyaKaeni vizuri na wanaume wa mikoani watawapa mbinu.
Hhhhaa hya mambo wew acha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] .Ahaaaahaaahaaa...we nae mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]aaah nyie mnaeza mkaua mtu etii maana ukimjibu mtu vibaya ni unamuharibu saikolojia yake..
bonge la idea yani ...ningeaza kufanyia majaribu kwako sema nimekuheshimu coz umenipa idea ngoja nitafute kisokorokwinyoo alaf nitaleta mrejesho ilaa itakuwa siri ako...Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]
Nimekupa hizi mbinu kwa kukuonea huruma tu mkuu...wanaume wengi very shallow na mapenzi
Hebu Nile
Wanaume wa dar watakusakama sanaTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Nzuri...Mkuu habari za UK[emoji3][emoji3]
Hahaha..daah ila si naskia watoto wanapendaga mizuzu tena ukiuchonga kibishoo zaidii...