Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Ukiliwa na mwanaume wa hivyo ni baraka.
Unatamani hata usioge.
Vile tuu yupo romantic una wish uendelee kumnukia nukia.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ivi ndio ukikaa karibu na [emoji257] unanukia [emoji257]... Ilipotokea? [emoji23][emoji23]
 
Kaeni vizuri na wanaume wa mikoani watawapa mbinu.
Mbinu moja kubwa hii hapa ngoja nimpe,atafute line ya voda or tigo,ahakikishe line yake ameisajili ili awe na uwezo wa kufanya miamala kwa njia ya tigo pesa or m pesa...aweke pesa za kutosha kwenye hizo account zake...akishafanya hivyo aje hapa nimfundishe nini cha kufanya
 
aaah nyie mnaeza mkaua mtu etii maana ukimjibu mtu vibaya ni unamuharibu saikolojia yake..
Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]


Nimekupa hizi mbinu kwa kukuonea huruma tu mkuu...wanaume wengi very shallow na mapenzi

Hebu Nilale mie
 
Nakupa siri moja mkuu ( ila usimwambie mtu, ujue nafichua undani wetu mwanamke)....once unamtaka bidada kuwa mnyenyekevu, mpole, yaaan we jifanye falaa![emoji15] [emoji15] ...hata kama hakutaki siku kakorofishwa na bwanaake wee utakuwa wa kwanza kutafutwa ( this is very serious u know)...halafu kingine penda kumpa vizawadi, hapa sasa sizungumzii hela I mean physical or tangible gift asee utapendwa balaa! Hata kama ni mtoto wa Bill Clinton Chelsea lazima atakupenda tuu[emoji173] [emoji173]


Nimekupa hizi mbinu kwa kukuonea huruma tu mkuu...wanaume wengi very shallow na mapenzi

Hebu Nile
bonge la idea yani ...ningeaza kufanyia majaribu kwako sema nimekuheshimu coz umenipa idea ngoja nitafute kisokorokwinyoo alaf nitaleta mrejesho ilaa itakuwa siri ako...
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Wanaume wa dar watakusakama sana
 
Back
Top Bottom