Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Oooooooowwww!!! I likeeeee
Mbinu za mashambulizi.
Kwa kuongeza usimtongoze mwanamke huku unajisifu unajiona wewe ni wewe utafeli[emoji23][emoji23]
Hahahhaha unachomeka na nni kidogo eti?
Ngoja nikumbuke mimi huwaga naanzaje[emoji85][emoji23]
 
Hizo ni swag my dear[emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Na wao watafika basi huko walipo [emoji23] [emoji23] [emoji23] wamikoani.
[emoji23][emoji23]swaga za kijinga.
Kuna mmoja kipindi nikiwa kijana .... Linatongoza linang'ata lips halafu sijui wanaume wa dar wanastail yao ya kuongea huku wameweka mdomo upande upande.
Niliishia kumkodolea macho huku nimekunja sura kama vile naona kinyaa.
Vipi na wewe ni wa dar??
 
Mpaka hapo ushawaelewa wanaume wa mkoani.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Nyie endeleeni kugugo mitongozo mikoani wapo real
Today i wish to be an Inspector rather than IA[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakwama ndugu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lenu tukija kuwafulia, kupiga deki, kuosha vyombo na kuwapikia .... Mkishakula mkishiba mnataka mtule na sisi wapishi.
Nyieee veeeeeeeeeep !!!!!!
Ile ya kuvaliana ilikuwa countryside au jijini? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulikuwa na maana there we goooo.
Nikajua tunaanza na bee.
No hard feelings[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahhaha today ni stripers lakuchumpa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahhaha unachomeka na nni kidogo eti?
Ngoja nikumbuke mimi huwaga naanzaje[emoji85][emoji23]
Wewe zako ni..
You: mambo
Her: poa
You: samahani unaitwa nani ? Mimi nimetokea kukuelewa , nakupenda....moyo titiiii, naomba namba za simu...ooh unapendaga kula nini....uje kunitembeleaa...ooh Mimi nafanya kaziii .. . vipi mwenzangu unaishi wapi..
( muda wote bibie anakuangalia tuu)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe zako ni..
You: mambo
Her: poa
You: samahani unaitwa nani ? Mimi nimetokea kukuelewa , nakupenda....moyo titiiii, naomba namba za simu...ooh unapendaga kula nini....uje kunitembeleaa...ooh Mimi nafanya kaziii .. . vipi mwenzangu unaishi wapi..
( muda wote bibie anakuangalia tuu)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni haircut kwenye IFRS9
 
Hahahahhaha today ni stripers lakuchumpa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu simu ishajaa chaj, chomoa betry lisife[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama CEO/prezidaa,umesomeka vyema kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja Mimi niendelee na vibarua vyangu vya ujenzi nimeshafika saiti.
Nisije shika simu na zege.
 
Back
Top Bottom