Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Pamoja sana.[emoji28] [emoji28] kabisa mkuu, pamoja[emoji122] [emoji122]
Vipi mishe lkini niaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana.[emoji28] [emoji28] kabisa mkuu, pamoja[emoji122] [emoji122]
Fresh kabisa...tunamshukuru Allah[emoji120]Pamoja sana.
Vipi mishe lkini niaje?
Si haba.Fresh kabisa...tunamshukuru Allah[emoji120]
Duh hatari...wanakuambia una kasoro gani?Mimi hii dunia kwenye kutongoza ni km nshaloose kwenye mademu 19 ninaotongoza 19 wananitolea nje mpk tamaa ya kutongoza nshaacha
Nna mtuDuh hatari...wanakuambia una kasoro gani?
Acha uongo, shida sio mitongozo shida ni kuwa huyo mkaka anaekutongoza unakuwa hujampenda/hujavutiwa nae ndo maana huwa mnajibu fyongo..kama ukimpenda mkaka hata akija na gia za, "usiku silali, nikinywa maji kwenye glass nakuona" mbona utamkubali fasta tu tena utamuona yupo romantic
Hlf sometimes mdada akitongozwa sana anajiona mzuri, kiburi na maringo vinapanda kwahiyo anawaona most of men kama vikaragosi cute b
mi kuna binti nilikua nasoma nae bhana sasa nilikua nimemuelewa sana kama kawaida ukimpenda mtu huwezi kujizuia kumkodolea macho mara kwa mara ,cha ajabu sasa kila nikimuangalia namkuta na yeye ananitazama,moyoni nikajisemea huyu shorii atakua amenielewa pia daah what a coincidence?..basi siku nimejipanga hatari nikapiga moyo konde kwenda kumsemesha mrembo daah kumbe huo ni mtego ili nijilengeshe aiseee aloo kilichonikuta aisee nilipewa vya mbavuu ilibidi nipige pozi kutongoza mwaka mzima kwanza nijiulize nakosea wapi au nina gundu..wanawake nyie shenzi sanaaa...
wanatuona washamba na sisi hatutakiKaeni vizuri na wanaume wa mikoani watawapa mbinu.
Kujibiwa vibaya inategemea umetongozaje. Ukija kistaarabu lazima upewe jibu LA Nina bf kwa upole kabisa ila unatongoza MTU Kama unamuomba uhai Bob lazima uletewe dharau uache kusumbua. Mngejua inavyokera kutongozwa Na mtu usie Na mpango nae halafu kila ukimkataa anajifanya haelewi mngetuelewaga tu wakati mwingine ukiona unadharaulika
Kweli kabisa mleta maada inabidi ajiangalie huenda anatumia mbinu ambazo wanawake hawazipendi
Mf usiombe ukutane na mwanaume mhaya jamani kha!wanasifa wale watu balaa unamtongoza mwanamke unajimaliza kabisa,unajielezea maisha yako,mipango yako wakati hata bado hajakukubali
Badirikeni,muwe na mbinu flani za kuamsha hisia.
Mkosi mkubwa sana. Utakuwa na nyota ya kupata ukimwiMimi sijawahi tongoza...ila wanawake ndo wananitongozaga sana...sijui ni mkosi au Bahati hata sielewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna ukweli hapo, siku hizi wasichana wanajirahisisha sana. Kama ukiwa na nia ya kumpa dushee, unaosha nao sana tu unaweza miliki hata 20 kwa mwezi hawa viumbe siku hzi hatutumii nguvu kabisaKutongozana mpaka miaka ya Leo???? [emoji4][emoji4][emoji4] nakumbuka miaka ya nyuma unamtongoza demu anakujibu ombi lako nitarifikilia [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi akikupa tu namba unamtoa out baada ya hapo ni demu wako
😀 😀 😀Kwa ugumu huu wa maisha,watu mnatongoza mnatafuta nini.
Nyie mna dharau sana,mi ndo maana nikifanikiwa hiyo papuchi itapata tabu sana!Ahaaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti we mchafu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
Ilikuwa ganda la ndizi[emoji23][emoji23] kwahiyo ukaanza upya tena au alikurahisishia kazi