Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Mmekuwa wavivu kutongoza mnaishia kuboa, mtu anakutext mambo asubuhi, jion anaomba mechi! Kuna kazi hapo! Kutongozwa kuna raha yake, ukikosea tu lazima ule za uso.. Unatongoza ka unaongea na m'ume mwenzio bhna! Romantic haipo kabisaaa! Unakuta mtu hela hana na kutongoza hajui weeeh! Wala hurudi mara mbili kusoma msg yke!! Hahaa!!i labda drs la saba
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Mami kajunjumele moja hiapa
๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜˜
 
Mmekuwa wavivu kutongoza mnaishia kuboa, mtu anakutext mambo asubuhi, jion anaomba mechi! Kuna kazi hapo! Kutongozwa kuna raha yake, ukikosea tu lazima ule za uso.. Unatongoza ka unaongea na m'ume mwenzio bhna! Romantic haipo kabisaaa! Unakuta mtu hela hana na kutongoza hajui weeeh! Wala hurudi mara mbili kusoma msg yke!! Hahaa!!i labda drs la saba
Haaaahaaa[emoji23] ...nimecheka
 
Mimi kuna binti nilimtongozaga miaka 3 iliyopita akanichomolea nje kwa dharau,sasa nashangaa mwezi uliopita ananitumia sms hutaki mzigo . Nimemjibu nilikupenda kipindi kile wakati hujazaa ,sasa sipendi used
Aaaah nomaah sana
 
Haaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...wee jamaa let me shut up[emoji40] [emoji40] [emoji48]
Huu mchezo mtamu sana. Sema ndio hivyo tena umri unaenda, baadhi ya mambo unapunguza. Unashangaa kijana ana usafiri, kazi nzuri, nyumba etc harafu wanawake wanampa tabu! Yaani vitendea kazi vyote hivyo, bado anapata tabu; unabaki kushangaa.
 
Huu mchezo mtamu sana. Sema ndio hivyo tena umri unaenda, baadhi ya mambo unapunguza. Unashangaa kijana ana usafiri, kazi nzuri, nyumba etc harafu wanawake wanampa tabu! Yaani vitendea kazi vyote hivyo, bado anapata tabu; unabaki kushangaa.
Haaahaaahaa.....naked truth
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
 
Mmekuwa wavivu kutongoza mnaishia kuboa, mtu anakutext mambo asubuhi, jion anaomba mechi! Kuna kazi hapo! Kutongozwa kuna raha yake, ukikosea tu lazima ule za uso.. Unatongoza ka unaongea na m'ume mwenzio bhna! Romantic haipo kabisaaa! Unakuta mtu hela hana na kutongoza hajui weeeh! Wala hurudi mara mbili kusoma msg yke!! Hahaa!!i labda drs la saba


Acha uongo, kwa uzoefu wangu kutongoza hakuna formula, kama mdada kapenda vya kutosha, it won't be that hard, ila kama hupendwi jasho la meno ndo linakutoka, mara utumie pesa, mara uzungushwe miezi 8 Mis powers
 
Haaahaaa....ukiwa bahili utapata za uso kinoma!

Kumbuka mkono mtupu haulambwi!


Acha kutulisha mavi na kijiko, hizo theory zako za kuwa eti kumpata mdada hadi umpe vizawadi, bhasi utadanganya wanaume wasiojielewa..best relationships I had ni kutoka kwa wadada ambao sikutumia hata senti kuwapata, ukienda na gia za vizawadi hlf ukikutana na mdada mjanja most of the times utachunwa hadi ujihisi mbuzi mee na papuchi hupewi....

Kuna mdada nlimtongoza hlf alinikataa kwa kuniambia ana bf, sikumbembeleza nkaachana nae, baada ya miaka 2 naona ananishobokea (nikajiuliza kichwani huyu MTU alinikataa imekuaje leo ananishobokea? Nimebadilika nn? Kaona nn kwangu? ) nkaona ngoja njifanye mjinga ili njue anataka nn, nikachukua namba..loooooh baada ya cku moja ananiomba nimletee zawadi, nkasema yees, uzuri na mm nimezaliwa mjini, nkamwambia aje gheto achukue hiyo zawadi..tukachat masaa machache yaliyofuata, huyo mdada alipoona sina dalili ya kumpa zawadi yoyote, simu zangu hakupokea tena wala SMS hakujibu

Mpaka leo mm na huyo mdada tunapishana njiani kama kiboko na mamba, shobo zake zote juu yangu zishaisha witnessj
 
Nimecheka kwa sauti huku..
Mmekuwa wavivu kutongoza mnaishia kuboa, mtu anakutext mambo asubuhi, jion anaomba mechi! Kuna kazi hapo! Kutongozwa kuna raha yake, ukikosea tu lazima ule za uso.. Unatongoza ka unaongea na m'ume mwenzio bhna! Romantic haipo kabisaaa! Unakuta mtu hela hana na kutongoza hajui weeeh! Wala hurudi mara mbili kusoma msg yke!! Hahaa!!i labda drs la saba
 
Umetisha mzee.
Mimi kuna binti nilimtongozaga miaka 3 iliyopita akanichomolea nje kwa dharau,sasa nashangaa mwezi uliopita ananitumia sms hutaki mzigo . Nimemjibu nilikupenda kipindi kile wakati hujazaa ,sasa sipendi used
 
Hii mada imenigusa sana, maana nilikuwa domo zege na vibuti nilikuwa nachezea vibaya mno.

Kuna mtu mmoja alifundisha vizuri sana, namna nzuri ya kuongea na wanawake, jaribu kutengeneza dialogue make her comfortable around you. First impressions matter, usilete topic/maswali yenye "Yes/No". Sio unafika tu, "Dada nimekupenda, naomba namba yako ya simu", akisema hana simu gearbox inakuwa imeingia kokoto.

Kuna manzi nilikuwa nasoma naye chuo, wakishua, halafu ana akili kinoma. Ana jamaa yake ana mpunga kweli kweli. Siku moja nikakutana nae mtaanai, nikamsalim then nikamwabia something simple, "Unajua kila nikikuona huwa najiuliza maswali mengi sana", alipotaka kujua ni maswali gani, nikamwambia "never mind".

Tukabadilishana namba, usiku alikuwa wa kwanza kunipigia (nilitengeneza the need to know, na binadamu hapendi kutojua), anataka ajue ni maswali gani hayo? bahati nzuri sana nilikuwa na safari, tukaongea/chat sana. Actually I was surprised, hakuwa na nyodo kama tulivyokuwa tunadhani; nilivyorudi nikwambia nimekuletea zawadi(uongo mtupu).Zawadi gani, nikamwabia siri yangu, njoo home uchukue, alivyokubali tu, mimi huyo Mwenge vinyago kuchukua zawadi kutoka "Arusha"
The rest is history....

Talk to her about anything without direct requests, mpaka atakapojisikia huru na wewe; Angalia mazingira, unawezaje kumfanya awe comfortable na wewe hapo mlipo?. Kuna demu mmoja nilimpataga kiulaini Mlimani City. Nimekutana nae Mr Price, nikamsalimia, nikajitambulisha [Respectfully]. Then nikamwomba msaada (Point to note: surprisingly wanawake wanapenda sana kutoa msaada), anisaidie kutafuta zawadi nzuri ya birthday ya dada yangu wakati sina dada wala birthday.
Nikawa nimeua ndege watatu kwa jiwe moja

1. Nimetengeneza dialogue without looking like an jerk.
2. Kwa kumuamini na kumpa kazi ya kutafuta zawadi, nimetengeneza trust between us; inaondoa natural defenses za mwanamke
3. Nimeonyesha kwamba I do care (kumtafutia zawadi sister yangu)
The rest is history....

Kuna actions wanawake wanazipenda naturally mfano taking care of children. Siku moja moja toka na vitoto vyako or vya any close relative, approach any lady, lazima moyo wake u-melt; anaanza kumuona baba wa watoto wake wakati wewe ni fisi tu. (Msije anza kuzungusha juani watoto wa ndugu zenu)

Kutongoza ni science. Wanaume tujue wanawake wanatongoza kila siku na kila mtu; how do you stand out? Nini kitamfanya asikusahau wewe? Jifunze, practise, utafanikiwa.
Naona umewatemea njia mbada vijana.
 
Lakini pia wanaume usilazimishe kupendwa wakati hupendwi unamuaza mtu ambaye hakutaki kama mimi kiukweli nikishaona dalili ambazo hanitaki nakula kona shaaa ya nn kujipa matatizo kuna manzi nilimtongoza kumbe alinikatalia lakini cha kushangaza kumbe waliambiana mmoja alikua anaangia laini ila akapata story kutoka kwa rafiki yake hadi leo mikausho mikali akanitukana nikamjibu jibu moja ungeringa kama una bikra wakati tayari ingene ameshusha yaaan hatari
 
Back
Top Bottom