Hapo nimekupadmta iyo ni haiba ya kike, hizi sampuli ziko nyingi tu, Wengine wanakifanya kitu flani hawajui ili tu akupe aone unafanya kwaajili yake anajiskia raha ni mapenzi hayo mkuuI guess umeninukuu vibaya Katika hoja yangu sijamaanisha kuwa mwanamke anapaswa kuwa kilaza, Mjinga Mjinga, Mshamba, au mpumbavu. Hakuna mwanaume anayehitaji mwanamke aina hiyo.
Point yangu ni kuwa kuna muda mwanamke anapaswa kuwa kama mtoto kwa mumewe. Asiwe mjuaji sana, awe mwenye akili kwa majirani na watoto ila kwa mume kuna muda anapaswa kuwa na utoto utoto fulani ambao kwa namna moja au nyingine unanogesha ndoa....
Kuna mambo mwanamke hana ulazima kuyatulia maanani nimeotoa mfano mzuri vita ya Ukraine na vitu vingine kama ivyo bora vimpite Tu. Ni kheri mke awe mshamba wa Instagram na snapchat ila awe ni mwelevu linapokuja suala la watoto na ibada
huyu mtoa mada anachanganya huyo utoto ndo mapenzi yenyewe sometimes, normally mwanamke anafanya utoto au wengine wanaita kujibebisha akiwa na mtu anae mpenda tu, sio kwa kila mtuHuyo mke mwenye akili za kitoto ndio atakaelea watoto wako kumbuka
Msela wanakula🤣Wenye akili za kitoto wanaomba sana hela, na ukiishiwa wanakubwaga.
Msela wanakula🤣
Mm nikigundua mwanamke ni bogazi auto tu siwezi kuwa nae hata awe mzuri vipi aseeWengi wao wanapenda kuhongwa iwe hela, nyumba, gari, cheo n.k; ukitaka ufike mbali tafuta mwanamke mwenye akili za kiutu uzima, hatotaka kutumia hela yako zaidi ya penzi tu.
Age inarange ngapi kwa kukadiria?Nina huyo ni mteja wangu nimeanza tu kuvutiwa nae ila ni MECHANICAL Anachomelea vyuma huyo sio poa.
yeye ni anajua vitu vya ufundi ufundi sio Kawaida, kashakuja kazini kuinstal CAMERA peke ake, Madish ya ving'amuzi vyote anafunga mwenyewe, anajua tumia hadi finder
Juzi kanipgia simu ananiuliza kama nina RJ 45 pin nikasema TOBAAA kiufupi, sema Mzuri bwana mate mimi mwagika mwagika nikimuona.
25+Age inarange ngapi kwa kukadiria?
Komaa nae
Ndio wanao waliza wanaume wengiMm nikigundua mwanamke ni bogazi auto tu siwezi kuwa nae hata awe mzuri vipi asee
Nimefanyaje mimi vile nikogo naive hivi? 😂binti kiziwi unahitajika haraka huku😂
PointJuu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.