Aiseeeee we jamaa .Haya bananimeiona hiyo ya kujichua mkuu hiyo siyo ndoa mke amekuja kwangu kunipa siyo mpaka nimuombe kwani hata kwao mahitaji angepata kasoro tendo la ndoa tu ndo maana mimi nikiingia tu lazima aniulize kama najisikia kula tunda muda huohuo au napumzika kwanza
kika mkuuKumbuka Kuna usemi unasema Ndoa ndoana , japo sipo kwenye gem lkn Lisemwalo lipo....
Ila in cost Wise hapo nakubaliana na ww coz ukifikiria Mpka dem afike magghetoni ushaspend almost 50 to 100+ kwa Duu High class , asa akija mara 3 au 4 kwa mwezi its cost full afu at the same time unazini yani its cost full kisa Mbunye tuu ,ukiaja kwnye Vitabu vya dini vinasema "Mwanume mpumbavu na asie na akili ni yule anezini" ....
Think twice b4 U enter the game...
[emoji23][emoji23][emoji23]Uko possessed wewe, kama hutafunguliwa, hutakaa uwe kwenye ndoa iliyotulia.
Vv
sawa bnaWivu gani my dear?
Yaani watu bwana,unapotoa the real observation wanaishia kusema wivu,ndio jibu rahisi na fasta kukwepa mjadala!
Wivu kwa maana watu hawana ndoa?Au hawana spouses?
The problem is,everybody has.....
Ni kama mtu upo uje hapa ufungue uzi kujisifia una PUA wakati wanadamu wana pua the same way,kuanza kujisifia pua yako shows how obnoxious you are of which does not make any sense!
Wanaume wote wanajisifia wake zao,na mapenzi ya vyumbani mwao ni vibamia au weaker males kujaribu kujionesha na wao wamo,we real men who take care of business hatuna haja ya kueleza watu how we handling our women to anybody....
Niko possessed na nani mzee?Uko possessed wewe, kama hutafunguliwa, hutakaa uwe kwenye ndoa iliyotulia.
Vv
haaa mkuu inamaana wananitafuta?Mkuu kua makini kuna wengine wana google!
Kwa uzowefu wangu kwenye ndoa.... Haupaswi kujivunia, bali unapaswa kumshukuru Mungu.Wana JF jamani tuseme ukweli sisi tulio kwenye ndoa ni kama tuko paradiso ndogo; hakuna kuhangaikia tena kutafuta au kupigwa kalenda, yaani nikiingia tu ndani naambiwa "karibu baby, unakula kwanza au utakula baadae ukimaliza kula" yaani mpaka raha.
Mkuu, wape hawa watu hata nafasi ya 1% kwamba wanafurahi kwa sababu wame punch above their weight, wame marry up, above their station or expectations, wame shinda the marriage lottery, wako pussy whipped, etc.Ukiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani....ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.....
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
Wako watu wanaosifia na hawana kasoro yoyote kama una kitu kizuri kwa nini usisifie, wengine kwao kusifia ni hulka itabidi uzoee tu. Kuna wengine kusifia ni kipaji . Kuna wengine wanasifia kuficha mapungufu kweli ila rohoni wanaumia. Hao ndio binadamuUkiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani....ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.....
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
Muda haujawahi kudanganya hata kidogo 😂Ukianza kupigwa kalenda ulete na Uzi mwingine
Hii ndoa changa.Wana JF jamani tuseme ukweli sisi tulio kwenye ndoa ni kama tuko paradiso ndogo; hakuna kuhangaikia tena kutafuta au kupigwa kalenda, yaani nikiingia tu ndani naambiwa "karibu baby, unakula kwanza au utakula baadae ukimaliza kula" yaani mpaka raha.
Uko possessed wewe, kama hutafunguliwa, hutakaa uwe kwenye ndoa iliyotulia.
Vv
Ndoa ni taasisi takatifu, acha kuleta maneno ya kuchafua ndoa na kuhalalisha uzin*nziUkiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
Ehh,sawa mtakatifu alieweka picha ya uume kwenye picha ya ID yake!Ndoa ni taasisi takatifu, acha kuleta maneno ya kuchafua ndoa na kuhalalisha uzin*nzi
Wivu gani my dear?
Yaani watu bwana,unapotoa the real observation wanaishia kusema wivu,ndio jibu rahisi na fasta kukwepa mjadala!
Wivu kwa maana watu hawana ndoa?Au hawana spouses?
The problem is,everybody has.....
Ni kama mtu upo uje hapa ufungue uzi kujisifia una PUA wakati wanadamu wana pua the same way,kuanza kujisifia pua yako shows how obnoxious you are of which does not make any sense!
Wanaume wote wanajisifia wake zao,na mapenzi ya vyumbani mwao ni vibamia au weaker males kujaribu kujionesha na wao wamo,we real men who take care of business hatuna haja ya kueleza watu how we handling our women to anybody....
Hawa watoto uliwapata kabla ya ndoaMiaka kumi na mbili sasa na watoto wako Sec
Hatudanganyiki ng'oooooooWana JF jamani tuseme ukweli sisi tulio kwenye ndoa ni kama tuko paradiso ndogo; hakuna kuhangaikia tena kutafuta au kupigwa kalenda, yaani nikiingia tu ndani naambiwa "karibu baby, unakula kwanza au utakula baadae ukimaliza kula" yaani mpaka raha.