flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Aiseeeee we jamaa .Haya bananimeiona hiyo ya kujichua mkuu hiyo siyo ndoa mke amekuja kwangu kunipa siyo mpaka nimuombe kwani hata kwao mahitaji angepata kasoro tendo la ndoa tu ndo maana mimi nikiingia tu lazima aniulize kama najisikia kula tunda muda huohuo au napumzika kwanza