Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

Kristonsia Nkya

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
302
Reaction score
292
[emoji179]Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]Kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]Kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]Kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]Ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]Big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]Kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
 
[emoji179]chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge

Mimba ni Kielelezo tosha na Ushahidi usio na Shaka kuwa huyo Mwanamke aliyebeba hiyo Mimba Amefanya Mapenzi na Mwanaume.

Ongezea na hiyo
 
Hapo kwenye namba tatu kwenye kuchoma kipande cha ganda la limao na karafuu na kuweka kwenye kona za chumba, fafanua kidogo mkuu.

Ukishachoma ukaweka mara moja, ndio mazima mbu wanatoweka kabisa hawatarudi tena au baada ya siku mbili tatu unachoma tena??
 
[emoji179]chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Hapo kwenye namba tatu hebu tufafanukie wenzio tunateseka sana na mbu.
 
[emoji179]chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Asee vitu vingne ni muhim kuliko elim ya class
 
[emoji179]chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Waooh!!!so amazing
 
Back
Top Bottom