Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

Nyigi hapo zimekaa ki sayansi zaidi..

Mfano hio ya kwanza

Lengo ni kutengeneza Mazingira ya Osmosis..
kutoka kwenye hypertonic solution kuileta kwenye Isotonic solution.

Ya pili nacho kinachofanyika ni ku mask Harufu ya kinyesi..
kiberiti kimetengenezwa kwa sulfur, ukikichoma unaleta reaction na oxygen matokeo yake ni Sulfur dioxide ambayo ni very sensitive kwenye receptors za harufu, hivyo ina comfuse receptors kuhisi harufu yake tuu,
Kwaio sio kwamba ile harufu ya kinyesi imekwisha, ila imezidiwa nguvu..

Haitofautiani sana na kazi ya carbon kwenye mkaa.

Hio ya ganda la limao na vipisi vya karafuu lengo ni kutengeneza harufu mbadala...

Kumbuka Njia kuu ya Mbu Kujua ulipo ni kunusa harufu ya Mwili na CO2 unayotoa wakati wa kupumua....

Hizi harufu, hasa Ile ya miile yetu hutofautiana na ndio maana waweza ushangae mbona umelala na mwenzako wewe mbu wanakufuata sana zaidi yake...
Kumbe wewe ni kivutizi...
Mara nyingi pia Blood Grp O wanavutia zaidi.
 
Nyigi hapo zimekaa ki sayansi zaidi..

Mfano hio ya kwanza

Lengo ni kutengeneza Mazingira ya Osmosis..
kutoka kwenye hypertonic solution kuileta kwenye Isotonic solution.

Ya pili nacho kinachofanyika ni ku mask Harufu ya kinyesi..
kiberiti kimetengenezwa kwa sulfur, ukikichoma unaleta reaction na oxygen matokeo yake ni Sulfur dioxide ambayo ni very sensitive kwenye receptors za harufu, hivyo ina comfuse receptors kuhisi harufu yake tuu,
Kwaio sio kwamba ile harufu ya kinyesi imekwisha, ila imezidiwa nguvu..

Haitofautiani sana na kazi ya carbon kwenye mkaa.
Ungeandika na Kiswahili mkuu ili tuelewe vizuri wengine chemistry hatukusoma ,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungeandika na Kiswahili mkuu ili tuelewe vizuri wengine chemistry hatukusoma ,[emoji23][emoji23][emoji23]
😝😝😝

Wali tushaona umezidi chumvi,
Na dawa ya chumvi/sukari siku zote ni maji..

Ndani ya kiazi nako kuna starch(hii haituhusu) na maji mengi tuu yasiyo na chumvi(na haya maji hasa hasa ndio yanakipa kile kiazi shape yake)

Hembu njoo hapa kwanza...

Ukimwaga maji kwenye sakafu Halafu pale sakafuni pakawa na mchanga yale maji yakakutana na ule mchanga nini kitatokea?

Hata kama pako flat utaona maji yanaenda kwenye mchanga zaidi...
Sasa chukulia huo mchanga ni chumvi..

Maji ya kwenye kiazi yatatoka yote kwenda nje kufuata chumvi,
Matokeo yake utakua umeongeza Maji kwenye wali,

Nikuulize....
Nini kinatokea ukiongeza maji kwenye chai iliyozidi sukari?..

Jibu unalo na hilo ndio lengo.

Kuna namna nyingine ya kuelezea hili ila nimachagua hii rahisi zaidi.
 
😝😝😝

Wali tushaona umezidi chumvi,
Na dawa ya chumvi/sukari siku zote ni maji..

Ndani ya kiazi nako kuna starch(hii haituhusu) na maji mengi tuu yasiyo na chumvi(na haya maji hasa hasa ndio yanakipa kile kiazi shape yake)

Hembu njoo hapa kwanza...

Ukimwaga maji kwenye sakafu Halafu pale sakafuni pakawa na mchanga yale maji yakakutana na ule mchanga nini kitatokea?

Hata kama pako flat utaona maji yanaenda kwenye mchanga zaidi...
Sasa chukulia huo mchanga ni chumvi..

Maji ya kwenye kiazi yatatoka yote kwenda nje kufuata chumvi,
Matokeo yake utakua umeongeza Maji kwenye wali,

Nikuulize....
Nini kinatokea ukiongeza maji kwenye chai iliyozidi sukari?..

Jibu unalo na hilo ndio lengo.

Kuna namna nyingine ya kuelezea hili ila nimachagua hii rahisi zaidi.
Pamoja kaka tuzidi kuelimishana
 
[emoji13][emoji13][emoji13]

Wali tushaona umezidi chumvi,
Na dawa ya chumvi/sukari siku zote ni maji..

Ndani ya kiazi nako kuna starch(hii haituhusu) na maji mengi tuu yasiyo na chumvi(na haya maji hasa hasa ndio yanakipa kile kiazi shape yake)

Hembu njoo hapa kwanza...

Ukimwaga maji kwenye sakafu Halafu pale sakafuni pakawa na mchanga yale maji yakakutana na ule mchanga nini kitatokea?

Hata kama pako flat utaona maji yanaenda kwenye mchanga zaidi...
Sasa chukulia huo mchanga ni chumvi..

Maji ya kwenye kiazi yatatoka yote kwenda nje kufuata chumvi,
Matokeo yake utakua umeongeza Maji kwenye wali,

Nikuulize....
Nini kinatokea ukiongeza maji kwenye chai iliyozidi sukari?..

Jibu unalo na hilo ndio lengo.

Kuna namna nyingine ya kuelezea hili ila nimachagua hii rahisi zaidi.
Asante kwa somo, si unajua tena
 
[emoji179]chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji179]kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji179]chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji179]kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji179]km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji179]kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji179]ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji179]Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji179]big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

[emoji179]kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Nifanye vipi superglue ikiganda kwenye nguo msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom