Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nitajaribu hii mbinuukigegeda hakojoi funga zipu ondoka
Umetema sumu sana mkuuumesahau hii, ukimtaka mwanamke anayejielewa mkaribishe kwako...utamla on a first date
ukitaka kumtongoza bosi wa kike na umpate (85% guaranteed), mpe idea ya biashara (itafanya muspend muda mwingi pamoja)
ukitaka uuze kwenye biashara yako, ajiri wanawake (ila kumbuka kufukuza mmoja baada ya mwingine na kureplace kila anapochuja), biashara za entertainment inafaa sana k.v. bar, hotel, etc
ukitaka kuoa ndani ya wiki 2 (yaani mmetongozana leo, kesho ukachapa, na unataka kuoa instantly kwasababu zako maalumu), tumia mda mwingi ukimlisha matango huyo demu (mwambie utakavyokuwa baba mzuri, weka mikakati ya shule za watoto, jinsi utakavyolea familia)...kisha malizia kwa: avunge mmekutana 2 years.
ukitaka uchawi na urogi na laana na maeno mabaya wanayokunuia yasikudhuru na usishambuliwe kiroho...kuwa gangstar (kunywa pombe, au vuta bangi on a regular basis, mfano kila ukitoka job lazima uende home umewaka)...hamna uchawi utafanikiwa coz naturally, mtu anayejielewa/timamu ndo hurogeka kirahisi..so kama ww unalala uko high, mchawi akija kuroga usiku kwa ndoto, ana kuta ufahamu wako/nerves ziko busy na hangover, hazina time yaani
ukitaka kuugua makusudi, yaani mfano mfano malaria...lala halafu umeditate kwamba unaumwa na unahitaji attention km mgonjwa, aisee baada ya 2 hrs nenda kapime uone
ukitaka kuamini kuwa jijini Dar uchawi upo, tembea na hela...uktiembea na hela nyingi let's laki 1 na kuendela, kuna mtu atajua tuuu na ataanza kukutrail hukua akiwaza anazichukuaje bia kukudhuru wala kukukaba, na ukikaa vibaya utaamka subuhi una nauli tuuu...kuna watu wana madawa ya kunotice hela.
Aiseechumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Ukiipenda mpe mwenzio
Ili timu unayoishabikia isifungwe kamata ndonga zako kwa nguvu!
Goli halitaingia
Naongezea!! Ukiona soksi zako zinanuka au miguu inanuka chukua kipande cha kitunguu weka kwny viatu harufu itakatika
Najua wajua ila acha nikujuze zaidi.
[emoji117] Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
[emoji117] Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
[emoji117]Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
[emoji117]Kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
[emoji117]Kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
[emoji117]Kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
[emoji117]Ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
[emoji117]Ukimaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
[emoji117]Big G ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi.
[emoji117]Kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge