Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

Rahisisha maisha, tumia njia hizi zitakuondolea usumbufu

umesahau hii, ukimtaka mwanamke anayejielewa mkaribishe kwako...utamla on a first date

ukitaka kumtongoza bosi wa kike na umpate (85% guaranteed), mpe idea ya biashara (itafanya muspend muda mwingi pamoja)

ukitaka uuze kwenye biashara yako, ajiri wanawake (ila kumbuka kufukuza mmoja baada ya mwingine na kureplace kila anapochuja), biashara za entertainment inafaa sana k.v. bar, hotel, etc

ukitaka kuoa ndani ya wiki 2 (yaani mmetongozana leo, kesho ukachapa, na unataka kuoa instantly kwasababu zako maalumu), tumia mda mwingi ukimlisha matango huyo demu (mwambie utakavyokuwa baba mzuri, weka mikakati ya shule za watoto, jinsi utakavyolea familia)...kisha malizia kwa: avunge mmekutana 2 years.

ukitaka uchawi na urogi na laana na maeno mabaya wanayokunuia yasikudhuru na usishambuliwe kiroho...kuwa gangstar (kunywa pombe, au vuta bangi on a regular basis, mfano kila ukitoka job lazima uende home umewaka)...hamna uchawi utafanikiwa coz naturally, mtu anayejielewa/timamu ndo hurogeka kirahisi..so kama ww unalala uko high, mchawi akija kuroga usiku kwa ndoto, ana kuta ufahamu wako/nerves ziko busy na hangover, hazina time yaani

ukitaka kuugua makusudi, yaani mfano mfano malaria...lala halafu umeditate kwamba unaumwa na unahitaji attention km mgonjwa, aisee baada ya 2 hrs nenda kapime uone

ukitaka kuamini kuwa jijini Dar uchawi upo, tembea na hela...uktiembea na hela nyingi let's laki 1 na kuendela, kuna mtu atajua tuuu na ataanza kukutrail hukua akiwaza anazichukuaje bia kukudhuru wala kukukaba, na ukikaa vibaya utaamka subuhi una nauli tuuu...kuna watu wana madawa ya kunotice hela.
Umetema sumu sana mkuu
 
Ili timu unayoishabikia isifungwe kamata ndonga zako kwa nguvu!
Goli halitaingia
 
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.


kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha


chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani


kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata


kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost


kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika


Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi


kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge



Ukiipenda mpe mwenzio
Aisee
 
Mmmhh niliwahi kuiona pahala bahati mbaya sijaifanyia kazi
 
Najua wajua ila acha nikujuze zaidi.

[emoji117] Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji117] Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji117]Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji117]Kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji117]Kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji117]Kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji117]Ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji117]Ukimaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji117]Big G ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi.

[emoji117]Kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
 
ASante
Najua wajua ila acha nikujuze zaidi.

[emoji117] Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

[emoji117] Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

[emoji117]Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

[emoji117]Kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

[emoji117]Kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

[emoji117]Kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

[emoji117]Ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

[emoji117]Ukimaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

[emoji117]Big G ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi.

[emoji117]Kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
💞 Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

💞Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha.

💞Chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

💞Kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata.

💞Kama umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost.

💞Kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva.

💞Ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika.

💞Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kwenye maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho.

💞Big g ikiganda kwenye nguo weka kwenye friza ikiganda itatoka kirahisi.

💞Kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge. Kama una nyingine unaijua iweke hapa ili tupate kuelimika.
 
Back
Top Bottom