umesahau hii, ukimtaka mwanamke anayejielewa mkaribishe kwako...utamla on a first date
ukitaka kumtongoza bosi wa kike na umpate (85% guaranteed), mpe idea ya biashara (itafanya muspend muda mwingi pamoja)
ukitaka uuze kwenye biashara yako, ajiri wanawake (ila kumbuka kufukuza mmoja baada ya mwingine na kureplace kila anapochuja), biashara za entertainment inafaa sana k.v. bar, hotel, etc
ukitaka kuoa ndani ya wiki 2 (yaani mmetongozana leo, kesho ukachapa, na unataka kuoa instantly kwasababu zako maalumu), tumia mda mwingi ukimlisha matango huyo demu (mwambie utakavyokuwa baba mzuri, weka mikakati ya shule za watoto, jinsi utakavyolea familia)...kisha malizia kwa: avunge mmekutana 2 years.
ukitaka uchawi na urogi na laana na maeno mabaya wanayokunuia yasikudhuru na usishambuliwe kiroho...kuwa gangstar (kunywa pombe, au vuta bangi on a regular basis, mfano kila ukitoka job lazima uende home umewaka)...hamna uchawi utafanikiwa coz naturally, mtu anayejielewa/timamu ndo hurogeka kirahisi..so kama ww unalala uko high, mchawi akija kuroga usiku kwa ndoto, ana kuta ufahamu wako/nerves ziko busy na hangover, hazina time yaani
ukitaka kuugua makusudi, yaani mfano mfano malaria...lala halafu umeditate kwamba unaumwa na unahitaji attention km mgonjwa, aisee baada ya 2 hrs nenda kapime uone
ukitaka kuamini kuwa jijini Dar uchawi upo, tembea na hela...uktiembea na hela nyingi let's laki 1 na kuendela, kuna mtu atajua tuuu na ataanza kukutrail hukua akiwaza anazichukuaje bia kukudhuru wala kukukaba, na ukikaa vibaya utaamka subuhi una nauli tuuu...kuna watu wana madawa ya kunotice hela.