Rai Kwa Yanga kuwakemea Baadhi ya Wachezaji, Nidhamu ni Tatizo

Rai Kwa Yanga kuwakemea Baadhi ya Wachezaji, Nidhamu ni Tatizo

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Hii ni Rai kwa wanywa 'thupu' Yanga kuwakemea baadhi ya Wachezaji kwani nidhamu inaonekana ni Tatizo

Hili ni angalizo La Mapema kwa Yanga. Eneo La nidhamu Limeonekana kulegalega katika Michezo ya hivi karibuni kwa baadhi ya Wachezaji wameonyesha Kiwango cha chini Sana cha Nidhamu.

Jambo hilo Limeanza kuiathiri timu katika Kiwango hata Marefa Wameshtukia nidhamu mbovu ya wachezaji na hivyo Kisaikolojia waamuzi Wanajipanga kuikabili hali hiyo ya nidhamu mbovu baadhi ya Wachezaji.

Mechi ya Yanga na Azam ni Kielelezo tosha. Mchezaji mmoja alilimwa Red kwa kuwadandia Wenzie kutokea nyuma akiamini Refa atafumba macho,haikuwa hivyo.

Kuna mwingine ni Kipa alitokea golini huku anafoka foka kufata refa, refa hakuwa na hiana akampokea kwa yellow card.Kiranga kikamuisha.

Halafu kuna yule aliyekuwa kwenye benchi nje yeye alikuwa anajifanya Kocha msaidizi wa Gamondi rusha rusha sana mikono kama Trafiki na mineno inamtoka sijui alikuwa anasema nini labda mitusi,naye akazawadiwa haki yake Ya yellow card.

Kwa kuwa Michezo sio uhasama na uadui, Michezo ni bururdani na Upendo hivyo tunawapa huu mchongo mapema mchukue tahadhari La Sivyo kiranga Chao kitawatokea puani.
 
Confident iliyopitiliza na uoga wa TFF kusimamia maadili ya soka kwa usawa. Siasa kuchanganywa na soka
 
Hii ni Rai kwa wanywa 'thupu' Yanga kuwakemea baadhi ya Wachezaji kwani nidhamu inaonekana ni Tatizo

Hili ni angalizo La Mapema kwa Yanga. Eneo La nidhamu Limeonekana kulegalega katika Michezo ya hivi karibuni kwa baadhi ya Wachezaji wameonyesha Kiwango cha chini Sana cha Nidhamu.

Jambo hilo Limeanza kuiathiri timu katika Kiwango hata Marefa Wameshtukia nidhamu mbovu ya wachezaji na hivyo Kisaikolojia waamuzi Wanajipanga kuikabili hali hiyo ya nidhamu mbovu baadhi ya Wachezaji.

Mechi ya Yanga na Azam ni Kielelezo tosha. Mchezaji mmoja alilimwa Red kwa kuwadandia Wenzie kutokea nyuma akiamini Refa atafumba macho,haikuwa hivyo.

Kuna mwingine ni Kipa alitokea golini huku anafoka foka kufata refa, refa hakuwa na hiana akampokea kwa yellow card.Kiranga kikamuisha.

Halafu kuna yule aliyekuwa kwenye benchi nje yeye alikuwa anajifanya Kocha msaidizi wa Gamondi rusha rusha sana mikono kama Trafiki na mineno inamtoka sijui alikuwa anasema nini labda mitusi,naye akazawadiwa haki yake Ya yellow card.

Kwa kuwa Michezo sio uhasama na uadui, Michezo ni bururdani na Upendo hivyo tunawapa huu mchongo mapema mchukue tahadhari La Sivyo kiranga Chao kitawatokea puani.
Kaka ile sio michezo ya hisani kama ya kina Team kiba vs Team Samatta unaposema michezl sio uadui lazima uweke exception inapokuja issue ya Pesa au Kombe ,hapo uadui unakuwepo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kaka ile sio michezo ya hisani kama ya kina Team kiba vs Team Samatta unaposema michezl sio uadui lazima uweke exception inapokuja issue ya Pesa au Kombe ,hapo uadui unakuwepo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app

Uadui wa Kiuanamichezo Sio uadui wa Vita....mguu wa Shingo , mguu wa Roho...!

Wachezaji waaelezwe kipaji kinaenda vizuri kwenye nidhamu.
 
Wachezaji wa Yanga sio kwamba hawana nidhamu. Bali wana morali ya hali ya juu hadi watu kama wewe mnakereka. Kama kuna makosa uwanjani wanafanya ni kutokana na presha inayozalishwa na morali sio nidhamu. Sasa kama huna D moja huwezi elewa
 
Kadi zilizotolewa na Marefa Zinaendelea kuigharimu Yanga...!

Yagawa points Tatu Muhimu Kwa Tabora Leo....

Walishatoa angalizo.

Nidhamu Nidhamu Nidhamu..!
 
Hii ni Rai kwa wanywa 'thupu' Yanga kuwakemea baadhi ya Wachezaji kwani nidhamu inaonekana ni Tatizo

Hili ni angalizo La Mapema kwa Yanga. Eneo La nidhamu Limeonekana kulegalega katika Michezo ya hivi karibuni kwa baadhi ya Wachezaji wameonyesha Kiwango cha chini Sana cha Nidhamu.

Jambo hilo Limeanza kuiathiri timu katika Kiwango hata Marefa Wameshtukia nidhamu mbovu ya wachezaji na hivyo Kisaikolojia waamuzi Wanajipanga kuikabili hali hiyo ya nidhamu mbovu baadhi ya Wachezaji.

Mechi ya Yanga na Azam ni Kielelezo tosha. Mchezaji mmoja alilimwa Red kwa kuwadandia Wenzie kutokea nyuma akiamini Refa atafumba macho,haikuwa hivyo.

Kuna mwingine ni Kipa alitokea golini huku anafoka foka kufata refa, refa hakuwa na hiana akampokea kwa yellow card.Kiranga kikamuisha.

Halafu kuna yule aliyekuwa kwenye benchi nje yeye alikuwa anajifanya Kocha msaidizi wa Gamondi rusha rusha sana mikono kama Trafiki na mineno inamtoka sijui alikuwa anasema nini labda mitusi,naye akazawadiwa haki yake Ya yellow card.

Kwa kuwa Michezo sio uhasama na uadui, Michezo ni bururdani na Upendo hivyo tunawapa huu mchongo mapema mchukue tahadhari La Sivyo kiranga Chao kitawatokea puani.
Tatizo kubwa la Yanga ni kelele, ashabiki na baadhi ya viongozi wamekuwa na kelele za kipuuzi kiasi cha kupeleka kuwaharibu achezaji, maana na wanashinda mitandaoni matokeo yake wanagawanyika huku wengine wakijiona ni zaidi.
Aziz K alipambana sana msimu uliopita, wenzake wakamsaidia kufikia malengo, amehisi klabu imeshamuabudu, wachezaji wanapaswa kujifunza kwa defense line ya ya Yao, Job na Baca, pia wajifunze kwa Mzinze na Sureboy
 
GZM anabet na kuuza mechi. Soka ni biashara we mlala hoi endelea kutoa povu hapa wajanja wanapiga hela na wanafaham vizuri wanachokifanya.
 
Back
Top Bottom