Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
duuh, unahisi nini chanzo cha panya.Nawashauri panya road waanzie pale Ikulu halafu waje lumumba
ndo tukibahati kuwatia mikononi tuwavishe mashada ya matairi tuwatie moto.Hao watoto wanajulikana mpaka makwao, cha msingi ni polisi kukamata nyumba hadi nyumba la sivyo mtaendelea kubakwa wakuu.
CCM wameshindwa kuwafikiria vijana wa nchi hii na walaaniwe wapo busy kuiba Kodi zetu na hatuoni matumainiduuh, unahisi nini chanzo cha panya.
Huu ndio uzi wa kwanza wa maana sana tangu mwaka huu uanze , shukrani sanaWasalaam
Kufuatia kuwapo kwa makundi ya panya road yaliyokatakata raia kwa mapanga na kupora mali zao kisha kuwabaka wanawake, wito wangu kwa watanzania wanaovamiwa wajibu mapigo kwa silaha zozote walizonazo hata ikibidi watangaze vita na hawa vibaka. Tupambane panya road akishikwa tumtie kiberiti tumwekee mashada ya matairi.
Over.
We mjinga hutaki Justice kwann wachommwe bila kusikilizwa nyie sukuma Gang acheni upumbavuHuu ndio uzi wa kwanza wa maana sana tangu mwaka huu uanze , shukrani sana
Sukuma gang tena kwa hii MadaWe mjinga hutaki Justice kwann wachommwe bila kusikilizwa nyie sukuma Gang acheni upumbavu
Wanatakiwa wakamatwe halafu waingiziwe screwdriver tunduni then wanai-rotate anticlockwise.We mjinga hutaki Justice kwann wachommwe bila kusikilizwa nyie sukuma Gang acheni upumbavu
Mnawaza ujinga sana nyie wapaganiWanatakiwa wakamatwe halafu waingiziwe screwdriver tunduni then wanai-rotate anticlockwise.
Sasa inakua-rotated clockwise.Mnawaza ujinga sana nyie wapagani
Hawawezi kuacha sababu ni rohoWapate vipigo vya hapa na pale huenda wakaacha.
Hao panya wako imara kuliko unavyo dhani. Hakuna anayekatwa panga na mke wake kubakwa mbele yake akaridhika. Unapoona hii hali maana yake wao ni zaidi ya ulinzi wa Taifa. Polisi na vyombo vya ulinzi vimesheheni Dar lakini ndiyo sehem wanawake wanabakwa. Hivi karibuni kijana mwenye ulenavu wa ngozi kakatwa panga, sidhani kama kwa sasa Nchi hii raia wako salama. Labda viongozi wa juu wa nchi hii ndiyo walio salama kwa kuwa wana ulinzi kijamii na kiuchumi.Wasalaam
Kufuatia kuwapo kwa makundi ya panya road yaliyokatakata raia kwa mapanga na kupora mali zao kisha kuwabaka wanawake, wito wangu kwa watanzania wanaovamiwa wajibu mapigo kwa silaha zozote walizonazo hata ikibidi watangaze vita na hawa vibaka. Tupambane panya road akishikwa tumtie kiberiti tumwekee mashada ya matairi.
Over.