Rai yangu kwa watanzania tujichukulie sheria mkononi.

Rai yangu kwa watanzania tujichukulie sheria mkononi.

Hao panya wako imara kuliko unavyo dhani. Hakuna anayekatwa panga na mke wake kubakwa mbele yake akaridhika. Unapoona hii hali maana yake wao ni zaidi ya ulinzi wa Taifa. Polisi na vyombo vya ulinzi vimesheheni Dar lakini ndiyo sehem wanawake wanabakwa. Hivi karibuni kijana mwenye ulenavu wa ngozi kakatwa panga, sidhani kama kwa sasa Nchi hii raia wako salama. Labda viongozi wa juu wa nchi hii ndiyo walio salama kwa kuwa wana ulinzi kijamii na kiuchumi.
Hamna kitu, ni kuamua tu.
 
I'm sorry to disappoint you dada yangu una wazo zuri ila nikwambie tu wanaume wa dar hawawezi fanya hayo
 
Wasalaam

Kufuatia kuwapo kwa makundi ya panya road yaliyokatakata raia kwa mapanga na kupora mali zao kisha kuwabaka wanawake, wito wangu kwa watanzania wanaovamiwa wajibu mapigo kwa silaha zozote walizonazo hata ikibidi watangaze vita na hawa vibaka. Tupambane panya road akishikwa tumtie kiberiti tumwekee mashada ya matairi.

Over.
Unahamasisha uvunjaji wa sheria, hii sio sawa.
 
Back
Top Bottom